Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
Mimi ni mtumiaji wa apple products (iphone, ipod ...), leo nlikuwa nabrowse appstore, nkasearch "swahili", then nkapata results apps za kiswahili, hicho kilinifurahisha, lakini kilichonisikitisha ni kwamba karibia apps zote zililzokuja zilikuwa ni za wenyetu wakenya.
Wakenya wanatengeza kamusi za kiswahili wanaziuza online, wakati tunaokijua vizuri kiswahili tupo tu tumelala.
Watanzania tuamke tuchangamkie hizi fursa za technolojia, kuna mambo mengi sana ya kuyaweka kwenye platform za simu (android/iphone/symbian...), nawasilisha.
Wakenya wanatengeza kamusi za kiswahili wanaziuza online, wakati tunaokijua vizuri kiswahili tupo tu tumelala.
Watanzania tuamke tuchangamkie hizi fursa za technolojia, kuna mambo mengi sana ya kuyaweka kwenye platform za simu (android/iphone/symbian...), nawasilisha.