Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Sioni chochote kilicho fanywa cha maana,ni hela nyingi zimeisha bure bila
kuacha Symbol yoyote ili watakao kuwepo kwenye sherehe za miaka 100 waje kuona
tulipopata uhuru kulikua na hiki,tulipo fikisha miaka 50 kilifanyika hiki,....etc
Kwa mfano,kama individual,mbowe katika maadhimisho ya
miaka yake 50 kapanda miti mingi kweli huko kwao,....hapo hata miaka 30 ijayo kila mtu
huko hai atajua hii miti ilipandwa na mbowe alipokuwa 50.
At 100 kizazi hicho kitasimulia utumbuaji wa mali waliokua nao mababu zao
kuacha Symbol yoyote ili watakao kuwepo kwenye sherehe za miaka 100 waje kuona
tulipopata uhuru kulikua na hiki,tulipo fikisha miaka 50 kilifanyika hiki,....etc
Kwa mfano,kama individual,mbowe katika maadhimisho ya
miaka yake 50 kapanda miti mingi kweli huko kwao,....hapo hata miaka 30 ijayo kila mtu
huko hai atajua hii miti ilipandwa na mbowe alipokuwa 50.
At 100 kizazi hicho kitasimulia utumbuaji wa mali waliokua nao mababu zao