Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
Mkuu utakuwa umetumwa au unaota
Rudi kwenu Rubumbashi kajipangee upya na utuletee kitu kilichomuua Pepe Kalle na Emollo.Ndugu baomba mnijuze anayefahamu kilichomuua marehemu amina chifuta
Ndugu baomba mnijuze anayefahamu kilichomuua marehemu amina chifuta
Ndugu baomba mnijuze anayefahamu kilichomuua marehemu amina chifuta
Ndugu baomba mnijuze anayefahamu kilichomuua marehemu amina chifuta
Lazima wewe utakua unaasili ya Kizaire!!
Hivi hata ukielezwa utafanyaje?au mpango mpya wa kumfufua?
Huyo simjui kwa kweli!
Kuna mtu anaitwa Manyaunyau alisema siku 14 Kanumba angerudi lakini mpaka kesho.
hahahaha mbavu zangu. Lol sikutegemea kucheka hivi kwa kweli. Wee mtambo..lol!Huyo simjui kwa kweli!