Kilichompeleka JK USA hiki hapa

Nadhani issue ya kujadili hapa ni namna gani Tanznaia kama nchi na wananchi watafaidika na huo mkutano wa sullivan. We going to get/learn anything ? Yes, they will come and go, what next after that ?
 
iyo mzee inakuwa ngumu kuhakikishiwa ila mbona kama hayo yamejiri haina kweree, mi nafagilia JK alivyo mjanja!! au we mwenzangu unamdindia
 
Nadhani issue ya kujadili hapa ni namna gani Tanznaia kama nchi na wananchi watafaidika na huo mkutano wa sullivan. We going to get/learn anything ? Yes, they will come and go, what next after that ?

wewe umechelewa wapi?

overall consensus humu ndani ya JF ishakubali kuwa huo mkutano wa sullivan utawaleta wanyamwezi kuja kutazama wanyama, ku enjoy short break na wachache watatake a piss like they always do with Muungwana

JF watu walishamka zamani mkuu
 
Mimi sijui tatizo la wale wanaomsakama Jk linatokana na nini?Rais huyu ni social na anapenda watu wa aina zote.Ni mpenzi wa michezo na muziki na hafichi.Kama kupiga picha na Boyz 11 men kunawatia wivu na hivyo kuanza chuki zenu ...shauri yenu maana hamna ajenda ya maana.Anajitahidi kutafuta wawekezaji na anlifanyia kazi taifa hili kwa juhudi kubwa.Watanzania ni maneno maneno tu...na kejeli zisizokuwa na maana.Uswahili...tu hamna lolote.
 
Lakini Wabongo jamani nyie kiboko!
Yaani kila mtu anaponda JK kupiga picha na Boyz to men kisha hao hao Wabongo wajuzi wa kusaga na meno tunawaona wao wakipigana vikumbo kupata picha wakiwa na JK, mijino yote njeee hali ndio wa kwanza kusema JK hafai.

This Kikwete is a Big Joker Ass hole
 
Mimi sijui tatizo la wale wanaomsakama Jk linatokana na nini?Rais huyu ni social na anapenda watu wa aina zote.Ni mpenzi wa michezo na muziki na hafichi.Kama kupiga picha na Boyz 11 men kunawatia wivu na hivyo kuanza chuki zenu ...shauri yenu maana hamna ajenda ya maana.Anajitahidi kutafuta wawekezaji na anlifanyia kazi taifa hili kwa juhudi kubwa.Watanzania ni maneno maneno tu...na kejeli zisizokuwa na maana.Uswahili...tu hamna lolote.
<br />
<br />
 
Jamani nyie simnamjua rice wetu? mnashangaa nini sasa? na inawezekana alienda kama akina sisi hata hakumpa hi Obama
 
lakini wenyewe simnjua jk anavopeda usharobaro na kuuza sura?
 
Huku nyumbani serikali yake ikiwa imewatelekeza wafanyakazi wa Jumuiya.....

march7-2.jpg




Zaidi ya winter shopping kingine ni hiki hapa. This is where our Humble President feel more at home. Tazama tabasamu lake hilo utafikiri yeye ndiye meneja wa hao BOYZ II MEN

Boys_ii_Men_with_Kikwete1.jpg


Tukisema rais wetu ana matatizo tutaonekana tunamtusi....angalia haya sasa,hata Obama hajawai kukutana na hawa jamaa na kukaa nao,maana ni upuuzi..sasa kama tukisema raisi anaenda kutalii tutakataa? Yaani president mzima unakaa unapiga picha kama muhuni fulani? Jamani watanzania tutadharaulika milele...maana huku kaongwa suti,huku kapiga picha na wanamuziki lol!!
 
Acheni wivu wa kike!!!

Mkuu umenipandisha hasira sana...maana umenikumbusha kauli nyingi ngumu zilizowai kutolewa na viongozi wetu....

  1. Acheni wivu wa kike--by Ben Mkapa
  2. Bora watanzania wale nyasi,ndege ya raisi inunuliwe--by Mramba
  3. Sijui kwanini watanzania ni maskini--by Kikwete Jakaya
Hizi ni baadhi,tutapata nyingi zaidi muda ukiendelea...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom