Kilichojiri kesi ya David Kafulila

Wana jukwaa nimesikia hukumu ya matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na David kafulila ni Leo je kuna ukweli hapo wadau na maaamuzi yametolewa au bado
Nememmiss sana David kafulila bungeni
 
1.Mwendelezo wa kesi ya kamanda KAFULILA Leo katika mahakama kuu kanda ta Tabora.

Jaji wa mahakama kuu kanda ya Tabora amesema mahakama itatumia kujumulisha matokeo yaliyoko kwenye form namba 21 ambazo zilizo na matokeo ya jimbo zima.

2. Hata hivyo jaji kaelekeza mahakama haitofungua masanduku ili kuhakiki matokeo ambayo ndio ilikuwa hoja ya HASINA ambaye ndiye aliyetangazwa kuwa mbunge.

3. Mungu anaendelea kututendea haki awajaze uzima wale ote wanakwenda kumalizia kazi nyepesi ya kujumulisha matokeo.
Kafulila namkubali. Mungu amsimamie
 
Huyu kafulila anaweza kurudi mjengoni naiona kabsa kuwa urejeo wake upo nje nje kama mahakama ikijumlsha matokeo ya form no 21 bhac jamaa atashnda ninachokiona hapa mahakama itende haki na mungu akamsimamie kafulila ukisoma methali 28.13 inasema kila silaha itakayosimama juu yako haitafanikiwa kamwe mungu atakutetea kafulila lipo kusudi na utashnda kama ulishnda kweli utashnda
Mkuu zisije pelekwa zile bilioni mahakamani kwa hakimu Ohoo!
 
Tutashinda ni kipindi kinachoendeshwa na mch.Lusekelo,Chanel Ten-kilichoboooora kabisa.

Kafulila kipindi hiki kinakuhusu.
 
Back
Top Bottom