NA hatoshnda in jesus name hyo hummer nitakupa mimNamuombea sana HASNA ashinde hiii kesi nitajipongeza kwa kujizawadia Hummer..... Simpendi hyo jamaa..
hasna juu juu zaidiiii
NA hatoshnda in jesus name hyo hummer nitakupa mimNamuombea sana HASNA ashinde hiii kesi nitajipongeza kwa kujizawadia Hummer..... Simpendi hyo jamaa..
hasna juu juu zaidiiii
Mwizi wake yuko wapi?go go tumbili
Endeleeni kujifariji ubunge ni Wa huyo Mh Hasna...Ccm oyeeee
Umesikia nini fungukaWana jukwaa nimesikia hukumu ya matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na David kafulila ni Leo je kuna ukweli hapo wadau na maaamuzi yametolewa au bado
Nememmiss sana David kafulila bungeni
Endeleeni kujifariji ubunge ni Wa huyo Mh Hasna...Ccm oyeeee
Endeleeni kujifariji ubunge ni Wa huyo Mh Hasna...Ccm oyeeee
Vipi bado kagenzi anaendeleza pini kwako au kesha kupiga chini?Subiri muone....Kafulila amesha shindwa.
Kafulila namkubali. Mungu amsimamie1.Mwendelezo wa kesi ya kamanda KAFULILA Leo katika mahakama kuu kanda ta Tabora.
Jaji wa mahakama kuu kanda ya Tabora amesema mahakama itatumia kujumulisha matokeo yaliyoko kwenye form namba 21 ambazo zilizo na matokeo ya jimbo zima.
2. Hata hivyo jaji kaelekeza mahakama haitofungua masanduku ili kuhakiki matokeo ambayo ndio ilikuwa hoja ya HASINA ambaye ndiye aliyetangazwa kuwa mbunge.
3. Mungu anaendelea kututendea haki awajaze uzima wale ote wanakwenda kumalizia kazi nyepesi ya kujumulisha matokeo.
HAHAHAHAHAH swadakta wala hujakoseaClkey kumbe mnilamba au?
Njoo pmHAHAHAHAHAH swadakta wala hujakosea
Huko naogopa banaNjoo pm
Mkuu zisije pelekwa zile bilioni mahakamani kwa hakimu Ohoo!Huyu kafulila anaweza kurudi mjengoni naiona kabsa kuwa urejeo wake upo nje nje kama mahakama ikijumlsha matokeo ya form no 21 bhac jamaa atashnda ninachokiona hapa mahakama itende haki na mungu akamsimamie kafulila ukisoma methali 28.13 inasema kila silaha itakayosimama juu yako haitafanikiwa kamwe mungu atakutetea kafulila lipo kusudi na utashnda kama ulishnda kweli utashnda
Usiye mpenda anarudi mjengoni sooooooon..................tafuta chaka la kujifichaNamuombea sana HASNA ashinde hiii kesi nitajipongeza kwa kujizawadia Hummer..... Simpendi hyo jamaa..
hasna juu juu zaidiiii
Mkuu mbona povu lina kutoka inaonekana una muogopa sana kafulilaUkijumlisha matokeo yaliyo kwenye fomu namba 21 Kafulila kashindwa! Kafulila kapoteza muda wa bure....
Hakunaga mnilamba mwoga weeHuko naogopa bana
Aha ww mtani sitaki mie hukawii kuniletea mbojoHakunaga mnilamba mwoga wee