Kilichojiri kesi ya David Kafulila

Natabiri na Nipo tayari,Narudia nipo tayari kupigwa ban ya maisha,Endapo Kafulila hatoshinda kesi yake ya ubunge.
Kwa mwenendo ulivyo mpaka sasa sioni wapi Ccm wanatokea,Haki ya kafulila ipo wazi na itapatikana,Believe me or not.
Moderator Huu uzi ubaki hapa kama hukumu yangu,Siku tu mahakama itatoa hukumu na Kafulila ikiwa ameshindwa,Nami Pigeni BAN
Wanasheria makini wataungana nami kwa hili.
Bado tu hujapigwa ban?
 
Natabiri na Nipo tayari,Narudia nipo tayari kupigwa ban ya maisha,Endapo Kafulila hatoshinda kesi yake ya ubunge.
Kwa mwenendo ulivyo mpaka sasa sioni wapi Ccm wanatokea,Haki ya kafulila ipo wazi na itapatikana,Believe me or not.
Moderator Huu uzi ubaki hapa kama hukumu yangu,Siku tu mahakama itatoa hukumu na Kafulila ikiwa ameshindwa,Nami Pigeni BAN
Wanasheria makini wataungana nami kwa hili.
Na lowassa mlitoa miahadi ambayo hamjaitekeleza.
P.s: Namkubali Kafulila anastahili kurudi bungeni.
 
Mkuu...Unawajua CCM au unawasikia

CCM wanaweza kufanya kisichowezekana kikawezekana
 
Natabiri na Nipo tayari,Narudia nipo tayari kupigwa ban ya maisha,Endapo Kafulila hatoshinda kesi yake ya ubunge.
Kwa mwenendo ulivyo mpaka sasa sioni wapi Ccm wanatokea,Haki ya kafulila ipo wazi na itapatikana,Believe me or not.
Moderator Huu uzi ubaki hapa kama hukumu yangu,Siku tu mahakama itatoa hukumu na Kafulila ikiwa ameshindwa,Nami Pigeni BAN
Wanasheria makini wataungana nami kwa hili.

Kibo 10; tutapotea pamoja maana mimi nitajipiga ban ya maisha na kujiondoa kabisa JF.
 
MWENYE Haki Yake Ambayo Imedhurumiwa Kwa Kupewa Mtu Ambaye Siye Mwenye Haki Hiyo!! MUNGU Azidi KUWAONYESHA Haki Na Waitende Pia!!!!
 
Back
Top Bottom