Bado tu hujapigwa ban?Natabiri na Nipo tayari,Narudia nipo tayari kupigwa ban ya maisha,Endapo Kafulila hatoshinda kesi yake ya ubunge.
Kwa mwenendo ulivyo mpaka sasa sioni wapi Ccm wanatokea,Haki ya kafulila ipo wazi na itapatikana,Believe me or not.
Moderator Huu uzi ubaki hapa kama hukumu yangu,Siku tu mahakama itatoa hukumu na Kafulila ikiwa ameshindwa,Nami Pigeni BAN
Wanasheria makini wataungana nami kwa hili.
Na lowassa mlitoa miahadi ambayo hamjaitekeleza.Natabiri na Nipo tayari,Narudia nipo tayari kupigwa ban ya maisha,Endapo Kafulila hatoshinda kesi yake ya ubunge.
Kwa mwenendo ulivyo mpaka sasa sioni wapi Ccm wanatokea,Haki ya kafulila ipo wazi na itapatikana,Believe me or not.
Moderator Huu uzi ubaki hapa kama hukumu yangu,Siku tu mahakama itatoa hukumu na Kafulila ikiwa ameshindwa,Nami Pigeni BAN
Wanasheria makini wataungana nami kwa hili.
Itakuwa Raha mpaka akilini na rohoni!Namuona kwa mbali jemedali kafurila akirejea bungeni karibu sana kiongozi
Adaiwe tu yule HusnaIkitokea Mbunge aliyepo anavuliwa Ubunge, zile hela 90m/-alizokopeshwa za kununua gari itakuwaje?
Natabiri na Nipo tayari,Narudia nipo tayari kupigwa ban ya maisha,Endapo Kafulila hatoshinda kesi yake ya ubunge.
Kwa mwenendo ulivyo mpaka sasa sioni wapi Ccm wanatokea,Haki ya kafulila ipo wazi na itapatikana,Believe me or not.
Moderator Huu uzi ubaki hapa kama hukumu yangu,Siku tu mahakama itatoa hukumu na Kafulila ikiwa ameshindwa,Nami Pigeni BAN
Wanasheria makini wataungana nami kwa hili.
Hamjui jecha!Unafanya masihara.Mkuu...Unawajua CCM au unawasikia
CCM wanaweza kufanya kisichowezekana kikawezekana
Hiki tunakula kinaitwa kiapo cha uaminifu.Tuamini tutashinda mkuuKibo 10; tutapotea pamoja maana mimi nitajipiga ban ya maisha na kujiondoa kabisa JF.
Mkuu same times mungu uwapiga upofu hawa jamaa,Na kwa hili watapofuka tu.Haki itapatikana.Mkuu...Unawajua CCM au unawasikia
CCM wanaweza kufanya kisichowezekana kikawezekana
huyu Husna akiwa mkuu wa wilaya ya Tandahimba alizuia mgombea wa cuf kutangazwa mshindi akatumia mbinu hiyohiyo kwa kafulila sasa kibao kimegeuka
hizo fomu si rahisi kuchakua , na hapo ndipo kafulila atarudishiwa ubunge wake , hatutaki mambo ya kurudia uchaguzi aliyeshinda atangazwe .
Clkey kumbe mnilamba au?Hapana chezea mtani wangu