Kilichojiri bungeni Tarehe 13 April (Muswada wa mafao)

kukimbia kulijadili hili ni kujidanganya wenyewe, ni kama kijifitini, huu mtihani wa kwanza chadema wamefail.
 
Kinachoshangaza ni kuwa wanahangaika na vitu vya kusadikika wanaacha vitu vya msingi, sasa hayo madini wanayojidai kutetea hata hawajui mikataba ilikuwaje, tenda wamapeana vipi, wanachimba kiasi gani, yaani ni USANII TU,hatuna mtetezi tz
 
Unachekesha kweli. Wabunge wa CCM ndiyo najority bungeni hivyo jambo lolote wanalotaka lipite litapita tu. Ulitegemea wabunge wa upinzani wafanye muujiza gani wakwamishe mswada usipite?
 
Usipoteze muda kulaumu, wewe kama mwajiriwa wa sekta ya serikali au binafsi fanya lililo katika nafasi yako!
Hujaona wana GGM jana walichofanya, hadi jamaa wa SSRA akaamua kuomba mwezi 1 wa ziada ili wakafanye mawasiliano zaidi?

Wangeanza kwanza wao kufanya lilo ktk nafasi yao wangekuwa wametuonyesha njia.
kwa hili wamewaangusha walio waamini.
Ndomana bado naamini wanasiasa ni walewale tu, hawatofautiani sana.
 
unachekesha kweli. Wabunge wa ccm ndiyo najority bungeni hivyo jambo lolote wanalotaka lipite litapita tu. Ulitegemea wabunge wa upinzani wafanye muujiza gani wakwamishe mswada usipite?
wangekataa, waraise awareness , wana magazeti wangeandika wananchi wangeweka presha kabla hata rais hajasaini, wako kwenye hii mitandao, wananchi hatuwezi kufuatilia bunge muda wote wao kwanini kwenye shugulizao za kila siku hawakulisema hili
 
Unachekesha kweli. Wabunge wa CCM ndiyo najority bungeni hivyo jambo lolote wanalotaka lipite litapita tu. Ulitegemea wabunge wa upinzani wafanye muujiza gani wakwamishe mswada usipite?

Kweli ccm ni wengi na tunajua tabia zao, ndo mana hatusemi wametangusha coz hiyo ndio jadi yao.
Tatizo, hao wanaotegemewa sikusikia hata wakipinga au kuulalamikia huo muswada
 
Ukisema wabunge wa upinzani ni wachache hoja hiyo inakuwa haina mashiko, maana hiyo chadema inapewa nafasi ya kujadili chochote kinachopitiswa. NA PIA KUSEMA HAWANA UWEZO WOWOTE WA KUZUIA KITU NATO SIO KWELI MAANA HIYO KAMBI YA UPINZANI WANGEIVUNJA,basi hata hiyo madini wanayojadili leo haina maana ni bora waache maana haisaidii.HAWA WATU WAMESHINDWA KUTUTETEA LAZIMA TUWASEME.
 
Ukisema wabunge wa upinzani ni wachache hoja hiyo inakuwa haina mashiko, maana hiyo chadema inapewa nafasi ya kujadili chochote kinachopitiswa. NA PIA KUSEMA HAWANA UWEZO WOWOTE WA KUZUIA KITU NATO SIO KWELI MAANA HIYO KAMBI YA UPINZANI WANGEIVUNJA,basi hata hiyo madini wanayojadili leo haina maana ni bora waache maana haisaidii.HAWA WATU WAMESHINDWA KUTUTETEA LAZIMA TUWASEME.

Cha ajabu wewe TP MAZEMBE Thread umepost wewe na wewe mwenyewe ndo mchangiaji mkuu, acha watu wachangiaje ujibu hoja.
 
Tpmazembe ngoma anapiga mwenyewe,anacheza mwenyewe,anashangilia mwenyewe imekuwa kama Mchezo wa kuigiza.
yawezekana hata hajui Mswada bungeni unapitishwaje ndo maana analopoka tu
 
:hat:Hili si la wabunge wa upinzani tu mkuu,ni suala linalotuumiza watanzania wote hasa tunaowafanya kazi za mikataba ya muda mfupi.Tunatakiwa tulipinge kwa pamoja wote.
 
Back
Top Bottom