Kilichojiri bungeni Tarehe 13 April (Muswada wa mafao)

Hivi hao wabunge wa CCM ambao huwa wanasinzia harafu wakishituka na kukuta mama makinda anasema Nafikiri walisomea Ndio wameshinda ..hata kama upinzani wamesema hapana kutokana na Idadi yao ndani ya Bunge
harafu jibu lenyewe kama hawanaga uhakika (Nafikiri )ndo nini?


Cha msingi ni kuweka wapinzani wengi ndani ya bunge Serikali hii inatakiwa iondoshwe madarakani haifai ,imechachoka kifikra

consern yangu mimi sio kushindana kwa ndio au hapana kwani mbona harakati za katiba mpya walikua wachache hivihivi bt walishinda?
mie natazama kama wao wangekua wa kwanza kulipigia kelele hili swala mapema wakati wa mswada hata kama ungepita wananchi i mean wafanyakazi na wanaharakati wangepata awearness kabla Raisi hajausaini na mijadala ingekua mikubwa ya kujaribu kukwamisha mswaada huu kua sheria,sasa wengi wetu tumefahamu hili jambo baada ya kua sheria na sio mswada tena. kilichotakiwa ni wao kutumia bunge kufanya public awearness na nguvu ya umma ndo ishindane na hizo ndio za hao walioupitisha
 
pengine tusiwalaumu sana wabunge wetu kwani labda wao waliona ni vyema tena ni haki kwa manufaa ya nchi ukizingatia wao wanapokea chao tu kila baada ya kumaliza miaka mitano wanalala mbele.
 
Kweli kwa hili serikali imefikia hatua ya kuibia wafanyakazi waziwazi. Kwa hali hii tutafika kweli? Ikumbukwe kuwa serikali inadaiwa fedha nyingi sana na hii mifuko ya kijamii. Kila kukicha utasikia miradhi kadha wa kadha inayofadhiliwa na hii mifuko ka ma ujenzi wa vyuo, barabara na madaraja. Kwa kuangalia hilo serikali imeamua kuweka sheria kandamizi ili kuifaidisha mifuko hiyo pamoja na wao na kutuacha sisi wananchi wafanyakazi kukopesha kukopesha damu zetu. Hivi ni kwa aliyeanza kazi hivi karibuni ni yupi mwenye uhakika wa kufikisha miaka 55 akiwa. Watu tunatakiwa kufanya kazi kwa malengo. Kwa maisha ya sasa na kwa mtu mwenye mtizamo wa mbali lazima ujiwekee malengo ya kufanya kazi kwa muda fulani then ujifanyie mambo yako yakiwepo kujiajiri. Kinachoonekana kwa hali hii mifuko ya hifadhi ya jamii haina fursa ya kumnufaisha mfanyakazi kwa sasa zaidi ya kumkandamiza na kumnyonya.
 
Nimejaribu kupita kwa haraka haraka lakini sijaona ukurasa unaozuia kuchukua hela yetu kabla ya kustaafu. Please alieona huo ukurasa naomba aniambie ili nijaribu kuupitia manake bado siamini ninachoendelea kukisikia!!
Hata na mimi nimesoma marekebisho yote kama yalivyowekwa katika makala hii na sikuona popote pale panapozungumzia suala la kuchukua au kutochukua pesa mapema.

Inawezekana ama
a) Sikuona mimi tu lakini kipengele hicho kipo, au
b) Hawa watu wa mifuko wanataka kuliingiza hili kinyemela, au
c) Tunapigishana kelele kwa jambo ambalo halipo.

Kwa hivyo, ninaomba aliyekiona kifungu husika kutoka katika sheria (sio mfukoni mwa Mfuko), atuwekee ili kama tunajadili, tujadili kitu kwa uhakika na sio kusema kwa ajili kusema tu.
 
Nimejaribu kupita kwa haraka haraka lakini sijaona ukurasa unaozuia kuchukua hela yetu kabla ya kustaafu. Please alieona huo ukurasa naomba aniambie ili nijaribu kuupitia manake bado siamini ninachoendelea kukisikia!!

Kaka mchezo ndo umekwisha huo chamaana ni kushughulika na gamba 2015, hii ishu itazungushwa mwanzo mwisho;pesa watu wamepiga na familia zao zimeshatangulia mbele, mimi na wewe ndo tumo humu jamvini tunalia;pesa hamna hata wakisema mpewe mtapewa nini?
 
Kaka mchezo ndo umekwisha huo chamaana ni kushughulika na gamba 2015, hii ishu itazungushwa mwanzo mwisho;pesa watu wamepiga na familia zao zimeshatangulia mbele, mimi na wewe ndo tumo humu jamvini tunalia;pesa hamna hata wakisema mpewe mtapewa nini?
Hapa ndipo Watanzania tunapjimaliza na kumalizana wenyewe. Ikiwa kipengele kwenye sheria hakikutajwa, lakini sijui PPF NSSF wanakiingiza kinyemela na bado tusubiri 2015.

Nani kakupa garantii kuwa 2015 utawala utabadilika? Nani kakupa garantii kuwa hata ukibadilika atayekuja atashughulikia uoza wa miaka 50 siku moja? HAPANA, ikiwa kipengele hiki hakimo kwenye sheria, hawa tunakamata ko.ro/kooni hivi sasa kabla ya 2015.

Mpaka wakati huo wangapi watakuwa wameshakufa na kudhulumiwa haki zao?
 
Hapa ndipo Watanzania tunapjimaliza na kumalizana wenyewe. Ikiwa kipengele kwenye sheria hakikutajwa, lakini sijui PPF NSSF wanakiingiza kinyemela na bado tusubiri 2015. Nani kakupa garantii kuwa 2015 utawala utabadilika? Nani kakupa garantii kuwa hata ukibadilika atayekuja atashughulikia uoza wa miaka 50 siku moja? HAPANA, ikiwa kipengele hiki hakimo kwenye sheria, hawa tunakamata ko.ro/kooni hivi sasa kabla ya 2015. Mpaka wakati huo wangapi watakuwa wameshakufa na kudhulumiwa haki zao?

hivi ni kweli wewe haujakiona?
 
Nifanyeje nipate mabomu pamoja na mafunzo kidogo ili nikajilipue bungeni? Msaada jamani...kwani bungeni wako chini ya 500,hata wakifa wote tutabaki zaidi ya 45millioni na tutaanza mambo mapya yaweza kua mwanzo ya ukombozi
 
Hapa naona ni hotuba tu ya waziri, mwenyekiti wa kamati ya huduma za jamii na kambi ya upinzani. Mswada wenyewe uko wapi?
 
Asante sana ndugu kix kwa kutuwekea hansard ya siku hiyo: Ebu angalia michango ifuatayo:
MHE.RICHARD M. NDASSA: Lakini kuhusu ukokotoaji wa mafao, endapo mifukohii haitakuwa na uniform mfanyakazihuyu kwa sababu
kapewauhuru wa kuamua kwenda sehemu ambako kuna
mafaomengi ipo hatari baadhi ya mifuko itakufa. Mimi
nitapendakwenda sehemu ambako ina mafao mazuri zaidi.
Kamakima cha chini cha mshahara ni 135,000/= lakini
penshenini 50,000/= lakini inawezekana sehemu nyingine kima
chachini ni 135,000/= pensheni ni 60,000/= au 70,000/=. Kwa
hiyo,naomba sana Mheshimiwa Waziri aiangalie sana mifuko
hii,vinginevyo baadhi za mifuko inaweza ikafa.
Mbunge wa aina hii anatufaa nini; yaani yeye anataka kulinda mifuko isiyotoa mafao mazuri isife!
MHE.MENDRAD L. KIGOLA: Mheshimiwa Mwenyekiti, halafu nimeonakwamba kuna
wanachamawengi wamejiunga kwenye mifuko mbalimbali,
kwamfano mtu anakuwa kwenye mfuko wa LAPFanakuwa
kwenyemfuko wa PPF, NSSF sasakufuatana na mishahara yetu
hiimidogo unaweza ukaona mwisho wa mwezi anakatwa
anabakialabda na kitu kidogo sana anashindwa kuishi, mifuko
iwe nasheria. Kwa mfano, mtu amejiunga NSSFau amejiunga
LAPF basiasiruhusiwe kujiunga na mfuko mwingine, kwa
sababuat the end of the day anakujakupokea mshahara
ambaohawezi kuishi kwa muda wa mwezi mmoja.
Huyu naye hataki mtu ajiunge na mifuko zaidi ya mmoja; yaania anatupangia! Why? Mbona mtu anaruhusiwa kupata fedha/kukopa toka sehemu zaidi ya moja. Hakika hili halmhusu - ni uamuzi wa mtu anavyotaka kuweka fedha zake
Hakika kwa wabunge wa aina hii miswada yote itapita; lakini tujilaumu sisi wenyewe kwani wafanyakazi ndio wasimamizi wa kura na kama kuna wizi wa kura wao ndio wahusika wakuu!
 
Nifanyeje nipate mabomu pamoja na mafunzo kidogo ili nikajilipue bungeni? Msaada jamani...kwani bungeni wako chini ya 500,hata wakifa wote tutabaki zaidi ya 45millioni na tutaanza mambo mapya yaweza kua mwanzo ya ukombozi

Mtaishia kusema hivyo hivyo na mtakufa kimya kimya kama wafuasi wa kibwetere.
Kama unategemea mwanasiasa yeyote(namaanisha yeyote) akuboreshee maisha yako imekula kwako.
 
Hata na mimi nimesoma marekebisho yote kama yalivyowekwa katika makala hii na sikuona popote pale panapozungumzia suala la kuchukua au kutochukua pesa mapema.

Inawezekana ama
a) Sikuona mimi tu lakini kipengele hicho kipo, au
b) Hawa watu wa mifuko wanataka kuliingiza hili kinyemela, au
c) Tunapigishana kelele kwa jambo ambalo halipo.

Kwa hivyo, ninaomba aliyekiona kifungu husika kutoka katika sheria (sio mfukoni mwa Mfuko), atuwekee ili kama tunajadili, tujadili kitu kwa uhakika na sio kusema kwa ajili kusema tu.
Mkuu hata mie, nimekodoa macho wee sijakiona hicho kipengele. Kama kuna aliyekiona hicho kipengele atuwekee hapa.
Maana mi nlitokwa na mapofu wakati sijajua ukweli wenyewe.

Lakini pia, muswada kama muswada haupo hapa zaidi ya hotuba za mawaziri, wabunge na wenyeviti. Kama kuna mtu yeyote mwenye acssess ya huo muswada/Sheria kwa sasa atuwekee hapa tujiridhishe na kuchukua hatua stahiki mapema.

Hakuna haja ya kusubiri kwa hili. Hii ni maisha yetu na familia zetu
 
Nilichogundua ni kwamba: Serikali ya ccm inadaiwa fedha nyingi sana na mifuko hii ya jamii, fedha walizokopa kwa ajili ya kampeni mbalimbali ili kulinda heshima ya majimbo yao yasichukuliwe na upinzani...baada ya kufanya tathmini ya muda mrefu na kuona kulipa ni ngumu, wakaamua kulipa fadhila kwa kuzuia fedha za wavuja jasho, huku wakiendelea kumnyonya huyuhuyu mvuja bila huruma kupitia kaupenyo fulani, "lipa kadiri unavyopata" au pay as you earn.
 
Natamani ning'oe mtu meno ili hasira zangu zitulie, yaani tumeibiwa na hawa manyang'au
 
Nimesoma kurasa zote 342, hakuna kipengele kinachosema mtu asichukue fedha zake, bali yalikuwa ni maoni na majadiliano ya wabunge . Kuunga mkono hoja ni mtazamo mmoja, na kugeuza hoja kuwa sheria ni kitu kingine. Rais alisaini sheria au majadiliano ya wabunge/mada.

Labda mimi nimeona vibaya au kiswahili kilichotumika kimenishinda.
 
Ndugu zangu wana jf,nimeshangazwa sana na kusikitishwa sana na sheria mpya ya SSRA juu ya mafao ya wafanyakaZI,NIMESIKITISHWA SANA NA WABUNGE AMBAL TUNAWAONA KAMA WATETEZI WETU KUPITISHA SHERIA HII KIMYA KIMYA WAKIJUA KUWA WAO HAIWAATHIRI... NA KWAKWELI HAPA NAMAANISHA WABUNGE WA UPINZANI HASA HASA CHADEMAA, Hapa namaanisha akina ZITO,MNYIKA,TUNDU,MBOWE.MDEE.etal...

SISEMI KUWA MNA UAMUZI WA KUIZUIA MAANA HAIWEZEKANI MAANA WA NDIOOO wengi lakini angalau mngepaza sauti tungewawikia. Lakini kwa sasa mtawaambia nini wa Tz?

I must admit,i am utterly disappointed with you guys... you havent done your home work properly..
 
Hivi siku zote unadhani Chadema wapo kwa ajili ya kusaidia wananchi hawa Chadema wapo kwa ajili ya maslahi yao binafsi.
 
Back
Top Bottom