Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Wangwe Bangi zilikuwa zinamsumbua na alidanganywa na UWT kupitia wastaafu wa Jeshi kutoka Tarime kuikengeuka CDM. Baada wao kuona wamemshirikisha mambo mengi ambayo yote hayakuzaa matunda walikuwa hawana jinsi maana siri zao bado walitaka ziendelee kuwa siri.
Kwa Tarime asilimia kubwa wanaipata hiyo kitu tena kwa njia ya kiasili kabisa ya kibuyu!! Kwa rasta kama wangwe sishangai.
Hii hapa sijakuelewa: hawana jinsi maana siri zao bado walitaka ziendelee kuwa siri. Una maana hawa ndio waalimmaliza? Wastaafu gani hao? Hivi ukisema ukweli ndani ya CDM unakuwa mkengeufu? Na kweli naona akina Shibuda wanakengeuka kwa kusema ukweli!!