Kilichofanyika ZAIN ni kinyume cha sheria za kazi!!

Termination was unfair completely na terminal benefit hawajalipwa kikamilifu bado wanamadai yao mengi tu kama wakifile labour( idara ya kazi).

Kwanza kabisa napenda nikwambie kile kilichoainishwa na ELRA ni minimum standard ikiwa imetowa mwanya wa co.husika kuweka na kuandaa kitu kinachoitwa Collective and Bargaining agreement kati ya mwajiri na mfanyakazi kupitia chama chao cha wafanyakzi ( kama itakuwa TUICO au CHODAWU).

Hivyo kuwapa malipo ya miashaha ya miezi mitatu na mishahara mingine kulingana na miaka mfanyakazi aliyofanya kazi hiyo inatokana na CBA yao inavyosema wala siyo upendeleo.Soma kifungu cha 41(2) (3) cha ELRA
Pili ukisoma kifungu cha 42 (2) (a) & (b).Hivy hawa jama hawajalipwa Severance Pay kama sheria inavyoelekezwa.

ukienda mbali zaidi hawa jama wanawezakufungua kesi kuwa ule mshahara wa notice waliolipwa wamekwata statutory deduction i.e NSSF au PPF? kama mwajairi hajafanya hivyo yupo liable before the law.

Jamani hiyo minimum standard ndio SHERIA! ndo maana halisi ya sheria ni minimum standards, kama kulikuwa na Collective Agreement naomba muibandike humu, otherwise ni hadithi hizo.

42(1) For the purposes of this section, ''severance pay'' means an
amount at least equal to 7 days' basic wage for each completed year of
continuous service with that employer up to a maximum of ten years.
Kwa hiyo mtu aliyefanya kazi mwaka mmoja anahitaji apate malipo ya siku saba.

Aliyefanya kazi miaka miwili siku 14 and so on...

Zain wamekamilisha hili, na zaidi. Wangeamua kufuata sheria watu wangechanganyikiwa nadhani.

42
(2) An employer shall pay severance pay on termination of emplo-
ent if-
(a) the employee has completed 12 months continuous service
with an employer; and

(b) subject to the provisions of subsection (3), the employer ter-
minates the employment
(a)Wamewalipa severance pay wote walifanya kazi zaidi ya mwaka, so wamekamilisha hili.

(b) Wameterminate employment based on operation requirements, wamekamilisha hili.

Sasa sijui unataka walipwe nini tena? Au labda utueleze ni wapi Zain wamevivunja hivo vifungu vya sheria?

Kama hao wafanyakazi walikuwa na chama cha wafanyakazi na Zain walikuwa na makubaliano tofauti na hicho chama basi mtuwekee humu hayo makubaliano, otherwise sioni ubishi uko wapi.

Tukumbuke kuwa uwezo wa kuwaajiri na kuwafukuza wafanyakazi ni muhimu sana kwenye dunia yenye ushindani mkali, kampuni lazima iwe "flexible".
 
Bm napata shida kidogo kuelewa hii sheria ya kazi ulioisema, najua ni kweli kuwa pande zote (muajiri na muajiriwa) wanapoonesha nia ya kukatiza mkataba wa kazi (termination of employment contract), wanatakiwa kutoa taarifa mwezi mmoja kabla au muajiriwa kulipa mshahara wa mwezi mmoja (as a lieu of) kama unaacha kazi chini ya muda wa mwezi mmoja, nilikuwa sijui kama muajiri nae hutakiwa kukulipa, anyway that is not an issue here, nilichokuwa nataka ufafanuzi toka kwa BM ni kuwa hiyo sheria pia inahusu upunguzaji wafanyakazi (retrenchment) au iyo retrenchment inahesabiwa kama kukatiza mkataba?

Kwa kifupi Retrenchment ni sababu mojawapo au mazingira yanayoweza kupelekea mwajiri akakatiza (terminate) mkataba wa ajira. na ili kuyaweka mambo vizuri, huwezi kufanya retrenchment bila kuterminate mkataba, yaani ndani ya retrenchment kuna termination of contract. Na ndio maana mada kuu hapa ni fairness ya termination of contract tukiachilia mbali sababu au mazingira (retrenchment). Hii inamaana tunapozungumzia termination it can be anything that brings the contract of employment to an end. Be it my misconduct, inefficiency, etc.

Kuhusu severance (Section 42 of ELRA, 2004), severance ifahamike kwamba ni entitlement pale mkataba wa kazi unapokuwa brought to an end. Kwahiyo severance haihusiani na procedural aspects za contract termination. Afterall hatujaambiwa kwamba wamenyimwa severance payment. Na hatakama hawajalipwa procedure ni kwamba kila mwajiriwa aliyeachishwa kazi anatakiwa kuandika barua kuomba alipwe na sio kesi. Kwa kifupi formula ya severance ni (1/4 * salary*No. of years worked) na inaapply kwa yeyote aliyefanya kazi kwa mwaajiri huyo kwamwaka mmoja au zaidi na si chini ya hapo.
 
Jamani hiyo minimum standard ndio SHERIA! ndo maana halisi ya sheria ni minimum standards, kama kulikuwa na Collective Agreement naomba muibandike humu, otherwise ni hadithi hizo.

Kwa hiyo mtu aliyefanya kazi mwaka mmoja anahitaji apate malipo ya siku saba.

Aliyefanya kazi miaka miwili siku 14 and so on...

Zain wamekamilisha hili, na zaidi. Wangeamua kufuata sheria watu wangechanganyikiwa nadhani.

(a)Wamewalipa severance pay wote walifanya kazi zaidi ya mwaka, so wamekamilisha hili.

(b) Wameterminate employment based on operation requirements, wamekamilisha hili.

Sasa sijui unataka walipwe nini tena? Au labda utueleze ni wapi Zain wamevivunja hivo vifungu vya sheria?

Kama hao wafanyakazi walikuwa na chama cha wafanyakazi na Zain walikuwa na makubaliano tofauti na hicho chama basi mtuwekee humu hayo makubaliano, otherwise sioni ubishi uko wapi.

Tukumbuke kuwa uwezo wa kuwaajiri na kuwafukuza wafanyakazi ni muhimu sana kwenye dunia yenye ushindani mkali, kampuni lazima iwe "flexible".

Tupo pamoja mkuu
 
Tunawaomba hao wafanyakazi walioachishwa kazi waende TEWUTA makao makuu simu street opposite na bilicanas(blakepoint outdoor) Wanaweza kupata maoni na ushauri wa kisheria kuhusu mafao yao na mikataba yao.
 
Ijumaa ya tarehe 15 wiki hii, ilikuwa ni siku mbaya kwa wafanyakazi wa ZAIN TZ kwani ilishuhudiwa wafanyakazi 25 wakipewa barua za kuachishwa kazi kwa stahili ya kudhalilishwa.
Wafanyakazi hao 25 ni sehemu ya wafanyakazi 2000 watakaopunguzwa kutoka kampuni tanzu 22 za zain africa na Mashariki ya kati, tayari kenya 141 walishaachishwa zidi ya miezi miwili iliyopita.

Kibaya hapa sio kuwaachisha lakini ni utaratibu wa jinsi zoezi lilivyoendeshwa kwani hakukuwa na vigezo vilivyoeleweka, wapo waliotumia nafasi hiyo kulipizana kisasi, kwa bosi kusuggest fulani afukuzwe sababu tu walishakosana huko nyuma.

wafanyakazi walifika kazini ijumaa kama kawaida wakiwa hawajui nani ataondoka japo ilijulikana kuwa siku hiyo wapo watakaoorudi nyumbani bila kazi.

walioachishwa kazi walipewa barua zao na hawakutakiwa kurudi tena ofisini, hapo walipo walienda makao makuu kijitonyama na kujaza form za clearance,kurudisha mali zote za kampuni kama line,laptops na vingine. Ilikuwa ni kama staili ya kuwafukuza wahalifu kwa udhalilishaji kabisa.

walilipwa mshahara wa miezi mitatu pamoja na mshahara wa namba ya miezi kulingana na namba ya miaka uliyokaa.
Formula ya malipo iliyotumika ni hii:

Wenye mwaka mmoja kazini: Miezi mitatu + Mwezi mmoja
Wenye miaka miwili kazini: Miezi mitatu + miezi miwili
Wenye miaka mitatu kazini: miezi itatu + miezi mitatu
Miaka minne kazini : miezi mitatu + miezi minne
Walioko kwenya probabation: makadirio



Swali langu kwa wadau wanaofahamu taratibu za malipo baada ya kuachishwa kazi huu ndio utaratibu ulivyo??

Poleni sana...sasa mtafute kazi zingine!
 
Tunawaomba hao wafanyakazi walioachishwa kazi waende TEWUTA makao makuu simu street opposite na bilicanas(blakepoint outdoor) Wanaweza kupata maoni na ushauri wa kisheria kuhusu mafao yao na mikataba yao.

Enzi zile TEWUTA ilipokuwa inaanza ilikuwa pembeni ya makao makuu ya Celtel (Zain)barabara ya kwenda Rose Garden,ilikuwa kwa ajili ya kuwatetea wafanyakazi wa TTCL... Wafanyakazi wa TTCL haswa kina Ndaro na wenziwe waliwachukulia wale wa iliyokuwa Celtel (Zain),kama vibaraka kumbuka Celtel ilikuwa kampuni ya TTCL (Kina-dharia) sasa sijui kama wataweza kwenda TEWUTA ... Kwanza sio wanachama,pili wakati ule hawakuona kuna umuhimu wa kujiunga...kwa nini iwe sasa??? Nawasilisha
Mpenda vitu Bariiiidi:confused:
 
Back
Top Bottom