Lawkeys
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 1,118
- 287
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tz Tsh. 1850 ilinunua 1 USD, hii ilikuwa mwaka jana tu! Lakini wiki hii Tsh 1598 imenunua 1 USD. Kwa haraka ninaona kwamba Tsh imepata awheni haraka kuliko ilivyotarajiwa na wengi.
Nimepata taarifa zisizo rasmi (heresay) kwamba mabadiriko haya ya haraka yametokana na utafiti uliofanywa na BOT uliogundua kwamba mfumo wa malipo ya import ya mafuta uliokuwepo ndio umechangia kwa kiasi kikubwa. Mfumo uliokuwepo awali ulikuwa ni kwa Commercial banks kutumika kulipia imports za mafuta nao walikuwa waki hike rates ili kujipatia faida kubwa.
Lakini sasa malipo yote yanafanywa kupitia BOT hivyo hakuna tena nafasi ya kufisadi. Inasemakana kwamba tangu kubalishwa kwa mfumo ndio TSH imeendele kufanya vizuri.
Wanaoujua ukweli wa jambo hili bonyezeni botton.
Nimepata taarifa zisizo rasmi (heresay) kwamba mabadiriko haya ya haraka yametokana na utafiti uliofanywa na BOT uliogundua kwamba mfumo wa malipo ya import ya mafuta uliokuwepo ndio umechangia kwa kiasi kikubwa. Mfumo uliokuwepo awali ulikuwa ni kwa Commercial banks kutumika kulipia imports za mafuta nao walikuwa waki hike rates ili kujipatia faida kubwa.
Lakini sasa malipo yote yanafanywa kupitia BOT hivyo hakuna tena nafasi ya kufisadi. Inasemakana kwamba tangu kubalishwa kwa mfumo ndio TSH imeendele kufanya vizuri.
Wanaoujua ukweli wa jambo hili bonyezeni botton.