huwezi kulipata jibu hapo hadi hapo utakapojua au kupata mawasiliano ya Uli na wale jamaa kabla ya kutekwa.where is steven ulimboka?????? No body ask such an important question????!!!!!!!!
Njaa ni mbaya sana....!!!
Habari toka Ikulu zinasema kuwa mara baada ya tume ya usuluhishi kwenda kutafuta muafaka wa mgomo wa madaktari na namna ya kutekeleza kama ilivyo amuliwa na mahakama ya kazi. Mh Jk alitoa dukuduku lake la moyoni na akawaambia yafuatayo kama wanaipenda kazi na nchi kwa ujumla.
1. Warudi kwa namna ileile walivyotangaza mgomo warudi na waombe radhi kwa kutumia njia ile ile waliotumia kutangaza mgomo.
2. Katika kutangaza kutojihusisha na mgomo wawataje walio watuma kufanya mgomo. ( Mpaka leo CHADEMA ndo wanajulikana ndio walio sababisha mgomo.
3. Wakiri kuwa wao ndo wakosefu na sio serikali kama walivyokuwa wanadai
Kila mwananchi kwa akili zake changanya na tukio zima la mgomo na tafakari
mimi nilikuwa siku za karibuni najaribu kuamini kuwa Watanzania tunaweza kujikomboa kifikra katika angalau miaka 10 ijayo lakini kwa matukio kama haya nathubutu kusogeza huo muda kwa miaka 30 mbele hivyo inaweza kufika hata miaka 40 ijayo! Sijui Wakenya watakuwa wapi wakati huo Mungu wangu!!!!Wanataka kutuaminisha kuwa walifanya mgomo kwa bahati mbaya, je, waliyokuwa wanayadai yalikuwa ya uongo? je, ni kweli huduma za afya kwenye vituo vya serikali imekuwa nzuri?
Waende zao, kujibembeleza kwa Jk kumewashushia heshima, walikuwa mfano katika kutetea haki zao lakini wamejishusha chini, bado inakuwa hakuna aliyevunja rekodi ya TANESCO kipindi hicho ilitaka kubinafsishwa.
Hakuna kitu kibaya sana kama mwanadamu asiyeheshimu dhamiri yake...
mimi nilikuwa siku za karibuni najaribu kuamini kuwa Watanzania tunaweza kujikomboa kifikra katika angalau miaka 10 ijayo lakini kwa matukio kama haya nathubutu kusogeza huo muda kwa miaka 30 mbele hivyo inaweza kufika hata miaka 40 ijayo! Sijui Wakenya watakuwa wapi wakati huo Mungu wangu!!!!
Sio njaa tu, ukosefu wa elimu. Kuna maneno niliwahi kusema hapa jamvini nikimwambia zuzu mmoja aliyekuwa akisema kwa nini kwenye sensa wamepewa nafasi watu wa sekondari ilhali yeye graduate ameachwa. Sikusita kumwambia kuwa madarasa hayabadili hadhi ya mtu, yanachoweza kufanya ni kukufundisha namna ya kufikiri lkn utachofikiri kinatokana na uwezo wako binafsi wa kiakili..
Hawa madaktari ni mfano wa wasomi wasio na elimu. Elimu ingekuwepo ndani yao wasingejidhalilisha namna hii. Wana mavyeti tu kichwani hamna kitu.
Hakuna kitu kibaya sana kama mwanadamu asiyeheshimu dhamiri yake...
Hivi cha kujiuliza ina maana wanaomba msamaha kuwa madai yao si yakweli? Na kama siyakweli kwa nini waligoma?
Hapa ndio utajua wanajaribu kucheza na akili za babu zao.
Kweli hata maboresho ya huduma mahospitalini na yo madai yalikuwa yakupikwa? Nini maana ya kuomba msamaha?
Kumbe hata CT-SCAN zilikuwepo za kutosha na zilikuwa nzima kabisa?
Kumbe walijiunga kwenye mgomo bila kujua walikuwa wanadai nini?
Kumbe walilazimishwa kuingia kwenye mgomo na kama walilazimishwa kwa nini hawakusema jana?
Hivi huruma yao kwa watanzani na wafiwa wameiona tareh 17/9?