Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,754
Poor ITV..............Wanatia aibu kwa kweli
Who is Cpwaa? The dude kept sending text msgs ili tumpigie kura, I think that the hard work aliyokuwa akisemea iliyomsaidia kushinda
Bi mkubwa upo makini, hadi hilo umeligundua...jamani have you noticed! Wanawake wamebaki kubeba tuzo! Where is the gender balance!
Big up to mzee small na bi kidude !
Mwishowe mtu anashinda kutokana na idadi za kura na sio ubora wa kazi yake!!Ndio tatizo hilo,yaani kampeni walizokuwa waikipiga hawa jamaa hata za uchaguzi mkuu zina nafuu,kila sehemu unawakuta wanapiga mikampeni yao: sms,facebook,twitter,radio stations,Tv stations n.k......Cha msingi wangewaacha watanzania wawachague kwa ubora wa muziki wao badala ya kufanya campaigns.........Fikiria kuna wengine wanadiriki hata kuwanunulia watu VOCHA za simu ili wawapigie kura kwa kutumia sms nyingi...............INABOA ile mbaya
Bi mkubwa upo makini, hadi hilo umeligundua...
Yaani wameandaa kwa bilioni moja!! Siamini.....hivi hii bilioni moja iliotumika, hawa watu waliofanya stage walishindwa kabisa kupata decent podium (mimbari)?