Ndo ninavyoona pia. Yani hazinipi hata hamu ya kuhudhuria, wanashindwa kurekebisha mambo madogo sana, wasanii wanaimba as if hawakuandaliwa wanashindana na vipaza sauti, inasikitisha.
ni sawa na BSS
Ndo ninavyoona pia. Yani hazinipi hata hamu ya kuhudhuria, wanashindwa kurekebisha mambo madogo sana, wasanii wanaimba as if hawakuandaliwa wanashindana na vipaza sauti, inasikitisha.
Ndo ninavyoona pia. Yani hazinipi hata hamu ya kuhudhuria, wanashindwa kurekebisha mambo madogo sana, wasanii wanaimba as if hawakuandaliwa wanashindana na vipaza sauti, inasikitisha.
Hiki ninachokiona kwenye TV ni kinyaa kitupu, nakubaliana nanyi nyote mliochangia hapa hebu angalia huo wimbo wa washindi hata hujui wanaimba nini. Hao washereheshaji wamepwaya sana hata sijui wamewaokota wapi, huyo dada mwenye gauni la kitenge huyo mtoto wa clouds aliyeondoka ITV ambako alikua anasoma taarifa ya habari sasa anakaa kwenye kipindi amplifire hata sijui ni kipindi gani alichoona cha maana ni kuvalishwa nguo za kushona na remtula nguo za winter kwenye jangwa, siamini hiyo tuzo eti inaenda tena kwa yule mwehu wa ukisikia paa kwa kweli ni hovyo kabisa inamaana mama ntilie haujapata tuzo wimbo wa asilia unaozungumzia maisha halisi ya mtanzania ajabu na kweli jamani
pass mark zake ni hizi, angalia cno number 0485
waandaji wameshindwa kufanya mawasiliano na jay dee na kidumu kujua kama hawaji alalfu wakawa record wakipokea tuzo...Wimbo bora wa Afrika Mashariki;
Nitafanya-Kidumu Feat Lady Jay Dee
naona amestahiliVideo bora ya mwaka ya Muziki;
Action-Cpwaa