Kilewo: Wabunge wa Dar acheni kulalamikia kauli ya Magufuli, chukueni hatua

Jamani mi nafikiri Tatizo sio hiyo shilingi 200 iliyopandishwa. Watu wanacholalamikia hasa ni kupandishwa kwa gharama za Maguta (200 hadi 1800), bajaj (300-1500) na hivi vifaa ndio hutumiwa saana na walala hoi kubebea mizigo yao toka mashambani kupeleka kwa walaji. Hii maana yake nini??? Hii inamaana kuwa bei ya vitu vinavyosafirishwa na wakulima toka kigamboni kwenda mjini itaongeza kupanda kwa bei kwa bidhaa mbalimbali. Ndio maana watu wanalalamika.
 
Kutokana na kauli na maaumuzi magumu na ya kijasiri ya Mh Waziri Magufuli juu ya kupandisha nauli ya kivuko cha kwenda kigamboni Watanzania wengi wenye mtizamo wa kimaendeleo wanaona ni vyema sasa nchi ikapata kiongozi dikteta atakayesimamia maendeleo ya nchi kiubabe kama alivyo Magufuli.

Mh Magufuli amezidi kuonyesha ujasiri wake hadi kwa kupingana na wabunge wa chama chake katika kusimamia msimamo wake kwani wabunge wa Dar katika sakata hili waidhirisha dhahiri kauli ya meya wa Jiji kuwa wanafikiria kupitia Makalio kwani badala ya kuwaongoza wananchi waliowachagua kupinga mchakato wa katiba na kupanda kwa bei za vyakula kama mchele, dagaa, unga, mafuta ya kula, sukari etc wanaibuka kupinga ongezeko la nauli.

Hivi huyu mbunge wa Kigamboni alishawahi kupinga hata ongezeko la posho za wabunge jibu ni hapana sasa anawalaghai watumishi kwa kuungana nao kupinga ongezeko la nauli ya kivuko tu na sio kupinga ongezeko la gharama za Maisha kwa ujumla.

kutokana na kauli ya Magufuli naona sasa imefika wakati wa nchi hii kutawaliwa kidikteta ili kufanikisha maendeleo ya nchi kwani siasa zimekuwa nyingi kuliko utendaji hongera Magufuli simamia msimamo wako wasio taka wapige mbizi au wachonge mitumbi yao;

Nahisi ulipofanya hii post ulikuwa mlevi embu ulevi ukishaisha uje uifute post yako mwenyewe
 
Ziko kwenye makumbusho huko Mwanza. Alilazimisha zikapitia Kenya zikafika ziwa Victoria zikaenda Mwanza. Wakati huo SUMATRA nadhani haikuwepo, zilifanya kazi mwezi mmoja tu zikawa chini ya mawe!! Zilikuwa ni boat CHAKAVU kwa maana ya CHAKAVU.


Ahaaaa kumbe!
Bila shaka ana kila sababu ya kumpiga tafu magufuli ili kama waziri ataona inafaa amsaidie boti zake zipate vibali vya kurudi majini tena.

Kichekesho ni kwamba huyu Azim Dewji alikuwa mkali sana dhidi ya Mchechu wakati NHC walipotangaza ongezeko la kodi ya nyumba za msajili lakini hapa anashadidia ongezeko la nauli kwakuwa naye ni mnufaika katika usafirishaji wa majini.

Kweli wabongo kwa ubinafsi na unafiki hatushikiki!
 
Nilikuwa sijui kwamba Dewji yuko Kambi ya Magufuli katika kuwania Urais 2015. Muacheni atetee kambi yake.
 
mi nilishachangia jana,nakushukuru sana azim dewji kwa kutokua mnafiki bali mkweli,maana ingekua mungine tukizingatia ugomvi wako na magufuli kipindi cha mkapa alipokukatalia kusafirisha kivuko chako kwa njia ya barabara akidai utaharibu barabara zake tusingetegemea uvae viatu vya magufuli kwenye hili
 
ujakosea ndio maana wa pale afrika sana wako wa dola
Euroo
shillingi sijui
uko ipi
 
Woote mnaoongea mnaongelea Magufuri kuwaambia wapige mbizi, wananchi kumzomea na kumtusi ni mnaona sawa!Kuwa kiongozi haikuondelei mtu ubinadamu na mara nyingi wengi wetu tungezomewa na kutukanwa lazima tungetukana zaidi ya hapo bora yeye kawa mstaarabu. Wengi wetu tungesema kxxxxx zenu.
Ukweli usemwe serikali sasa hivi iko ICU haina pesa, ukiangalia ukweli wa mambo Vivuko vya Kigamboni serikali inatoa Huduma, na tulipokuwa tunaenda kuchota pessa Hazina kumekauka! Hivyo kivuko lazima kijiendeshe period!!!!!
Maghufuli analiita bereshi bereshi, sio mwanasiasa ni mtendaji na tunahitaji watendaji kama hawa kumi nchi iende mbele


Lingusenguse umenena!
Tatizo wabongo twapenda vitu vya dezo sana. nmemsikia mtemvu anasema kule mombasa ferry ni bure, so na hapa iwe bure!

Kwanza nampongeza magufuli kwa uvumilivu, kwani matusi walomtukana wakati anawatanabaisha yalikuwa manene mno! yeye kawavumilia, kawaambia kwamba tu kama vipi wapige mbizi....wala hujawatukana...walistahili. kwani naye ni binadamu, kaacha kusherehekea mwaka mpya kaenda kuongea nao alfu tena wanamtukana!

mtemvu na wanasiasa wenzie wamepata pakuzungumzia porojo zao...ati wasafiri bure..
kwani hawajui nauli kituo hadi kituo ni 200/= ? waache unafiki na wamechemsha kwani pinda hanakauli kwa hili jambo.

hebu tufanye serikali ijitoe kwenye hii biashara au huduma, apewe mwekezaji...ungetegemea nini hapo kama sio nauli ingekuwa 500/=
wake up you guys.
 
Hivi zile Boat za Azm Dewji ziliishia wapi?...maana nakumbuka Mh POMBE alizikomalia kweli kweli
Naona zinaozea pale Mwanza zilipigwa marufuku kwamba hazina ubora mpaka zirekebishwe halafu sumatra nao wakague tena ndio zirudi kazini lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili naona zimetia nanga
 
....taratibu ninaanza kukubaliana na dr.masaburi, inawezekana kabisa kuwa hawa wabunge wa dar es salaam wana nyaya zilizounganisha bongo zao na makalio, hawapo sawa hawa....
dr was right, now what i think they are not only using masaburies to think but also bongo zao zina nyee
 
Yani hapa logic iko wapi angepandisha mwezi wa 6 pia ungeuliza hilo swali kwamba kwanini kapandisha nauli mwezi wa 6. Acheni kulalamika kwa kila kitu ebu kuwa reasonable uone kuwa shs 100 toka 1995 mpaka leo? hata pipi 1995 ilikuwa inauzwa shs 10 leo shs 50

kama gharama zilipanda zamani,iweje wakurupuke leo hii?
 
kwani tatizo la kupanda kwa gharama za uendeshaji limeanza mwezi wa 12?je kwa siku hizi panton hunywa mafuta kiasi gani?mantainance ya panton inagharimu kiasi gani?makusanyo ni kiasi gani?je makusanyo hayo yanaendana na idadi ya watu au mizigo inayosafirishwa na kama haiendani kuna upungufu kiasi gani?je hakuna fungu jingine ya kuendesha huduma hii?naomba wadau tutakaochangia tujaribu kujibu maswali haya.

Hayo maswali mbona haukuuliza Wabunge walivyoongezewa POSHO? Acha kelele wewe Bw. Mdogo! MAGUFULI Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!! songa mbele!
 
Tuache unafiki, sasa kama ni katibu wa CDM hapa jijini kilichokushinda kuitisha iyo move unayotaka wabunge waitishe ni nini? CDM si ndio chama cha mapambano? Kwa nini wewe umeshindwa kuyaongoza hayo mapambano ya kupinga nauli na mengine unayoona yatalifanya jiji la Dar kuwa active wakati uko kwenye chama cha wapiganaji. Au wewe ndo kenge kwenye msurur wa mamba.? Ng'atuka bana acha kutuletea usaniii hapa. Nilitegemea kauli hii itolewe na kiongozi wa magamba lakini si CDM
Ukiwa na watu kumi kama wewe wanaofikiri kwakutumia masaburi, hustahili kuishi.......
 
well, said Ukishindwa kulipa 200 piga mbizi! safi saana Magufuli... wakitaka walipe wakishindwa wavue nguo waogelee.. 100 siyo issue
 
ile ni huduma mkuu, na sio biashara.
Tukisema tuangalie faida nauli inaweza ikawa buku na ushee ati?

manake kama huduma za wananchi zitaendeshwa kibiashara basi isiwe kivuko cha kigamboni tu,tuangalie mahospitali pia kwa sababu huduma kwa mjamzito,mtoto,mzee mgonjwa wa ukimwi ni bure wakati makundi haya ndio wateja wakuu wa mahospitali.ziko sehemu za kupata hiyo fedha ya kuendeshea vivuko na sio kumkamua mlalahoi.
 
Utafiti wangu uanaonyeaha Kivuko cha Ferry Kigamboni pamoja na kupanga nauri ya TZS 200 bado kinakuwa ndiyo kivuko cha bei y chini KWA TZ.
 
Acheni siasa zisizo na tija, ongezeko la nauli ni lazima kwa kipindi hiki
Wamemzomea Waziri, nae ni binadam ana nyongo! He is not perfect.
Watu wa Dar mmezubaa sana, hamtaki CHANGES, bakini hivyo na siku zote mtakuwa mnapiga kelele bila kufanya actions kama Arusha, Mbeya na Mwanza.

Hapo umeongea ukweli. watu hawataki mabadiliko na wabunge wa DSM wanataka huruma kwa wananchi kwani wanajua mpaka sasa hawajafanya chochote kwa maendeleo ya majimbo yao
 
shillingi 200 inaweza kuwa reasonable lakini kwa kauli ailyoitoa haipendezi kabisa kutolewa kama kiongozi wa umma kama yule angetumia kauli nyingine lakini siyo kupiga mbizi
 
Back
Top Bottom