Huburya Charles
Member
- Dec 7, 2011
- 68
- 6
Mh.J.Magufuli hajakosea kupandisha bei za kivuko cha magogoni labda tu maneno aliyosema ya watu kuogelea ( kupiga mbizi ) kama hawana nauli na wananchi tunaomba wamkubali kwa hilo alilofanya. Kwa hawa wabunge wa Dar hawajui watendalo maana ktk kikao cha Bunge kilichopita Mh.Azan Zungu ktk mchango wake katika wizara ya ardhi alisikika akisema watu wa mabonde ya Jangwani hawatakiwi kuhama na kama serikali ikishinikiza wahame atawaambia waandamane lkn leo tumeshuhudia wakifa kwa wingi wakati wa mafuriko, kwa hiyo hata hili la bei baadae ndo ataona usahihi wake, pia kumbukeni Dr. Masaburi alisema wabunge wa Dar. wanafikiria kwa kutumia nini (makalio).