Kilevi - Kiini cha Kutawala na Kutawaliwa ?

Companero

Platinum Member
Jul 12, 2008
5,604
1,704
Katika kozi mojawapo kwenye chuo fulani kuna makabrasha kadhaa ya kihistoria yanayodai kuwa biashara ya kilevi ilikuwa na faida kubwa sana toka enzi za ukoloni. Mataifa ya Ulaya yalikataa katakata kuacha kupeleka pombe barani Afrika pamoja na kilio kikubwa cha wamishionari kuzuia ulevi. Pia yalikataa kubadili tozo katika uingizaji wa kilevi. Jamii za Kiafrika zilinunua kilevi kwa wingi na hata kupelekea jamii kadhaa ziuze watu wa jamii zingine utumwani ili zipate fedha za kununua kilevi hicho kutoka ughaibuni ambacho waafrika walikiona ni kikali na kinachodumu, yaani, bora kuliko pombe zao za asili!

Je, kilevi ndio msingi mkubwa uliofanya waafrika watawaliwe na waendelee, kwa ujumla, kuzidiwa mno katika medani ya kimataifa hadi leo. Zakumi, Nyani Ngabu, Gaijin na wanataaluma wengine wa hali ya waafrika karibuni mchangie mawazo!
 
"The Brussels General Act of 1889-90, which primarily focused on measures against the slave trade, also included restrictive measures on the traffic in spirituous liquor." These measures came about as a result of two powerful competing interests in Britain towards the end of the nineteenth century. One of them was an anti-liquor lobby, which included textile merchants represented by the Manchester Chamber of Commerce and London-based humanitarian organizations. Under the leadership of Bishop Tugwell of Western Equatorial Africa and Sir John Kennaway, both organizations "denounced the liquor traffic in the same way they denounced the slave trade," arguing that the liquor shipped to West Africa "contained poisonous alcohol injurious to health and [encouraged] widespread drunkenness and laziness", The Aborigines Protection Society, a temperance organization, contended that the alcohol trade gave rise to wasteful expenditure, immorality, crime, and the degradation of natives." " - Chima J. Korieh
 
Back
Top Bottom