Hata kama EL angekuwa hajajiuzulu uwaziri muu kwa skendo ya Richmond, ilikuwa, bado na itaendelea kuwa rahisi sana kwa ngamia kuingia kwenye tundu la sindano kuliko EL kuwa president wa nchi hiimna kazi! sasa hivi watu wanaangalia kwa umakini kwani your next president ni EL..