hengo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 402
- 50
Jamani leo ni bajeti ya Wizara ya aridhi, nyumba na maendeleo ya makazi,nimekaa kusikiliza michango ya waheshimiwa mbalimbali juu ya bajeti hii,wengi wao wanaisisitizia serikali kupima viwanja.
Kwa keli mimi mwezenu kila wakitaja Kupima viwanja moyo uanenda mbio maana wazee wangu ,ukianzia babu na bibi kisha baba na mama wanaishi kwenye viwanja ambavyo havijapimwa, tangu walipokusanywa enzi za miaka ya 1970`s enzi za vijiji vya ujamaa hadi leo hawana hati viwanja ya hivyo.Kama serikali itakuwa sikivu na kuamua kupima viwanja itakuwaje?nahofia bomoabomoa na ukizingatia wamezeeka wote nitawapeleka wapi?.
Lakini pia nami nina kakiwanja kangu sehemu nako haka hati,maana viwanja vilivyo pimwa hasa mijini vinauzwa bei juu.Sasa napo nikipokonywa nitakuwa mgeni wa nani?
Kwa keli mimi mwezenu kila wakitaja Kupima viwanja moyo uanenda mbio maana wazee wangu ,ukianzia babu na bibi kisha baba na mama wanaishi kwenye viwanja ambavyo havijapimwa, tangu walipokusanywa enzi za miaka ya 1970`s enzi za vijiji vya ujamaa hadi leo hawana hati viwanja ya hivyo.Kama serikali itakuwa sikivu na kuamua kupima viwanja itakuwaje?nahofia bomoabomoa na ukizingatia wamezeeka wote nitawapeleka wapi?.
Lakini pia nami nina kakiwanja kangu sehemu nako haka hati,maana viwanja vilivyo pimwa hasa mijini vinauzwa bei juu.Sasa napo nikipokonywa nitakuwa mgeni wa nani?