albavich van dope
Member
- Sep 27, 2016
- 44
- 7
Nltajiwa live stream player ndo naweza kupata Chanel za bongo asa azam Two na Hd bt nkidownload aij nsaidien
Inapatikana play store kwa Android phon ze2Mimi natumia mx player iko poa
Njo pm nkuelekeze bro
Sory broo ntumie picha ya hyo apps cz znanchanganyaAzam2 TV
http://154.73.170.220:1935/AZAM2/myStream/playlist.m3u8
Azam sports HD
http://154.73.170.220:1935/azamsports/myStream/playlist.m3u8
Unacopy hizo link nenda kwenye search
Paste hizo link moja moja
Baada ya hapo player hizo link
Zitaplayer vizr tu pia unaweza kuzisave kwa future use
NDA ya live stream player kuna channel nyingi pia km sky sports
Azam2 TV
http://154.73.170.220:1935/AZAM2/myStream/playlist.m3u8
Azam sports HD
http://154.73.170.220:1935/azamsports/myStream/playlist.m3u8
Unacopy hizo link nenda kwenye search
Paste hizo link moja moja
Baada ya hapo player hizo link
Zitaplayer vizr tu pia unaweza kuzisave kwa future use
NDA ya live stream player kuna channel nyingi pia km sky sports
Azam TV wapo online kwenye lice streamNipo abroad natamani kucheki mechi na mambo mengineyo, lakini nikifungua website za mashirika husika mfano Azam TV sioni option ya streaming....msaada wenu wakuu, au kama pana youtube channel ya mambo haya ambapo naweza kuangalia tv za nyumbani nielekeze cha kufanya.
Leo azam wameziweka offline kwasababu za kibiashara especiallyHizi link mbona hazikubali, unatumia browser gani?
Nimejaribu naona kama haipo active...sijajua nakosea wapiAzam TV wapo online kwenye lice stream
Chakufanya ingia kwenye website yao then utaona channel zilizo online
Click hizo channel then play kwa kutumia MX player au live stream player
cheki mechi za huko huko au rudi nyumbaniNipo abroad natamani kucheki mechi
Kweli wewe ni tindikali! Ndo ushauri gani sasa huu...cheki mechi za huko huko au rudi nyumbani
Wako online now no kweli muda WA mechi ya simba na yanga link zao zilikuwa offlineNimejaribu naona kama haipo active...sijajua nakosea wapi
Omeona ushauri wangu ni mbaya?Kweli wewe ni tindikali! Ndo ushauri gani sasa huu...
Nimejaribu kudownload kwa pc haikubali,mkuu msaada tutaniMkuu kama sehemu ulipo internet iko vizuri download mobdro au mobkora ziko vizur sana