kibhopile
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 1,505
- 753
nice guessing,,,Mi nadhani hakuna tatizo kwani ni kitu ambacho kila
siku hasa usiku kinafanyika, si dhambi kwa upande mmoja
wakati kwa upande mwingine ni dhambi yaani inategemea.......
hivyo kama hatujisikii tunaweza kuhamia kwenye spot au
zile mada zetu zinazoongeza stress