Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Jamani,
Huu siyo utani. Ninamaanisha nachosema. Yaani kila ninayeongea nae iwe ofisini, kwenye daladala na maeneo ya mapumziko, anamlaumu sana kikwete kwa jinsi anavyoongoza nchi. Wengi wanalalamika hali ya maisha kuendelea kuwa ngumu. Wengine wamefikia hata hatua ya kusema bora sikumpigia kura yangu. Sasa ninachojiuliza hivi hao wananchi asilimia 61 waliompigia kura mbona siwaoni kwa utafiti wangu mdogo tu??? Labda REDET waendeshe kura yao ya maoni wathibitishe hiki nachoongea.
Huu siyo utani. Ninamaanisha nachosema. Yaani kila ninayeongea nae iwe ofisini, kwenye daladala na maeneo ya mapumziko, anamlaumu sana kikwete kwa jinsi anavyoongoza nchi. Wengi wanalalamika hali ya maisha kuendelea kuwa ngumu. Wengine wamefikia hata hatua ya kusema bora sikumpigia kura yangu. Sasa ninachojiuliza hivi hao wananchi asilimia 61 waliompigia kura mbona siwaoni kwa utafiti wangu mdogo tu??? Labda REDET waendeshe kura yao ya maoni wathibitishe hiki nachoongea.