klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Jaribu kutumia majani ya mpapai, weka kwenye maji ltr 10 kisha oga kutwa mara mbili. Mademu utawakimbia!!
hehehehe sred klosed
Jaribu kutumia majani ya mpapai, weka kwenye maji ltr 10 kisha oga kutwa mara mbili. Mademu utawakimbia!!
Jaribu kutumia majani ya mpapai, weka kwenye maji ltr 10 kisha oga kutwa mara mbili. Mademu utawakimbia!!
Ahaa ahaa first lady wangu nimecheka sana yaani afanye EVALUATION ya tongozo zake
Na asiwe na haraka, jaribu kwanza out bila neno, jaribu zawadi na msg za kumsalimia asubuhi mchana na jioni akisha kuzoea unapop in na swali lakomada yako nimeipenda sana , mengi wezangu wametangulia kukueleza ila napenda kusisitiza kuwa jaribu kumsoma mwanamke kwanza yaani jenga urafik nae kwanza, yale mambo ya kukutani njiani na kuanza kutongoza hata jina umjui yamepitwa na wakati na ukifanya hivyo hupati mwanamke na ukupata bas ni kimeo
Kila nikimtokea kila demu na kumwelezea shida zangu haamini kama nampenda kweli,unakuta kila nikimtongoza msichana mzuri jibu ninayopewa eti siwezi nikadumu naye mana lazima wasichana wengine watajipendekeza kwangu na nitamwacha.kila ninayemfuata anahisi namdanganya wakati nipo serious,sijui nifanyaje??
hahahahaha lol Jinsi ulivyoandika
ni kama unataka kusema we ni mzuri saaanaa
hadi wasichana wanaogopa utawaacha mmmhhh
haya bwana..
kwanza umesha kosea kumita "DEMU"
msichana unayempenda na uko serious naye ..
Pili labda njia yako ya kutongoza ni ya maringo
au hujui kutongoza kama kila msichana nakukataa..
Kila nikimtokea kila demu na kumwelezea shida zangu haamini kama nampenda kweli,unakuta kila nikimtongoza msichana mzuri jibu ninayopewa eti siwezi nikadumu naye mana lazima wasichana wengine watajipendekeza kwangu na nitamwacha.kila ninayemfuata anahisi namdanganya wakati nipo serious,sijui nifanyaje??
Jaribu kutumia majani ya mpapai, weka kwenye maji ltr 10 kisha oga kutwa mara mbili. Mademu utawakimbia!!
Gaga mimi naanza na wewe nakutoa outing kisha naanza kukumwagia msg kama sina akili nzuri "Honey umeamka salama,umekunywa chai,umekula mchana how was your day" Part 2 itaendelea keshoNa asiwe na haraka, jaribu kwanza out bila neno, jaribu zawadi na msg za kumsalimia asubuhi mchana na jioni akisha kuzoea unapop in na swali lako
Gaga mimi naanza na wewe nakutoa outing kisha naanza kukumwagia msg kama sina akili nzuri "Honey umeamka salama,umekunywa chai,umekula mchana how was your day" Part 2 itaendelea keshoNa asiwe na haraka, jaribu kwanza out bila neno, jaribu zawadi na msg za kumsalimia asubuhi mchana na jioni akisha kuzoea unapop in na swali lako
Aaah kaka, kama wote wanakutolea nje, basi wewe susa kabisa kuwatongoza...!Kila nikimtokea kila demu na kumwelezea shida zangu haamini kama nampenda kweli,unakuta kila nikimtongoza msichana mzuri jibu ninayopewa eti siwezi nikadumu naye mana lazima wasichana wengine watajipendekeza kwangu na nitamwacha.kila ninayemfuata anahisi namdanganya wakati nipo serious,sijui nifanyaje??
Kila nikimtokea kila demu na kumwelezea shida zangu haamini kama nampenda kweli,unakuta kila nikimtongoza msichana mzuri jibu ninayopewa eti siwezi nikadumu naye mana lazima wasichana wengine watajipendekeza kwangu na nitamwacha.kila ninayemfuata anahisi namdanganya wakati nipo serious,sijui nifanyaje??
Inawezekana unawafuata bila kujua shida yao ni nini? Wengine unaweza ukawatamani kuishi nao lakini wao wanataka wa kupita tu na pesa.Kila nikimtokea kila demu na kumwelezea shida zangu haamini kama nampenda kweli,unakuta kila nikimtongoza msichana mzuri jibu ninayopewa eti siwezi nikadumu naye mana lazima wasichana wengine watajipendekeza kwangu na nitamwacha.kila ninayemfuata anahisi namdanganya wakati nipo serious,sijui nifanyaje??
Anaonekana ni HENDISAM BOI wa maelezo halafu vilevile ni JOKA LA KIBISA.
Hebu mueleze kwamba wadada wa siku hizi hawataki mabitozi au macheki bobu, wanataka wenye sura ka maharage yaliyoungulia kama sisi . . .