Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 858
- 252
Wana jamii wenzangu naomba msaada kiukweli ukweli,
Kuna jamaa yangu wa karibu sana anatatizo ambalo lina msumbua sana kichwa na inafikia hata utendaji kwenye biashara zake kushuka.
Naomba nisisitize hii ni habari ya kweli na inamtesa mtu hata sasa na anategemea sana msaada wenu wana jamii.
Huyu jamaa ni mfanya Biashara na mchumba wake yupo Idara ya uhamiaji (emigration)
Bado hawajafunga ndoa lakini ukaribu wao umeanza tangu wakiwa watoto kabisa shule ya msingi hadi A Level wamesoma shule moja ila baada ya hapo yule msichana wazazi wake walihamia Sweden kikazi hivyo walihama nae.
Katika kipindi hicho chote hawakuwahi kukutana kimwili (nikimaanisha ngono)
lakini kutokana na mahitaji ya kimwili kuwazidia ilikua tarehe 13/4/2010 mrembo yeyemwenyewe akashawishi kutoa mzigo ili na yeye aingie kwenye ulimwengu maridhawa.
kweli kwa siku ya kwanza mrembo alikua msumbufu kidogo akibananishwa kona apigwe pini nikianza kukandamiza tu anapiga kelele hata wakati mwingine ananing'ata kabisa ,mara anajifungia bafuni mwisho wa siku zoezi lilikamilika ila shida ni kwamba alizimia kwa zaidi dakika 40 na kinacho mchanganya jamaa zaidi ni kwamba ile hali ya kuzimia inaendelea hadi sasa yaani jamaa akimiliki jukwaa na mrembo akipiz anazimia mojakwamoja hii hali jamaa inamnyima amani kabisa na kwa kua anampenda sana hata kumsaliti hathubutu .
Wamesha enda Hospital tofautitofauti lakini mrembo bado anaendelea kuzimia tu.
Je!hali hii inasababishwa na nini?
Ni hali ya kawaida
Nini madhara yake?
Nini tiba yake?
There any alternative to keep her safe?
Msaada wenu nimuhimu sana wakuu
Kuna jamaa yangu wa karibu sana anatatizo ambalo lina msumbua sana kichwa na inafikia hata utendaji kwenye biashara zake kushuka.
Naomba nisisitize hii ni habari ya kweli na inamtesa mtu hata sasa na anategemea sana msaada wenu wana jamii.
Huyu jamaa ni mfanya Biashara na mchumba wake yupo Idara ya uhamiaji (emigration)
Bado hawajafunga ndoa lakini ukaribu wao umeanza tangu wakiwa watoto kabisa shule ya msingi hadi A Level wamesoma shule moja ila baada ya hapo yule msichana wazazi wake walihamia Sweden kikazi hivyo walihama nae.
Katika kipindi hicho chote hawakuwahi kukutana kimwili (nikimaanisha ngono)
lakini kutokana na mahitaji ya kimwili kuwazidia ilikua tarehe 13/4/2010 mrembo yeyemwenyewe akashawishi kutoa mzigo ili na yeye aingie kwenye ulimwengu maridhawa.
kweli kwa siku ya kwanza mrembo alikua msumbufu kidogo akibananishwa kona apigwe pini nikianza kukandamiza tu anapiga kelele hata wakati mwingine ananing'ata kabisa ,mara anajifungia bafuni mwisho wa siku zoezi lilikamilika ila shida ni kwamba alizimia kwa zaidi dakika 40 na kinacho mchanganya jamaa zaidi ni kwamba ile hali ya kuzimia inaendelea hadi sasa yaani jamaa akimiliki jukwaa na mrembo akipiz anazimia mojakwamoja hii hali jamaa inamnyima amani kabisa na kwa kua anampenda sana hata kumsaliti hathubutu .
Wamesha enda Hospital tofautitofauti lakini mrembo bado anaendelea kuzimia tu.
Je!hali hii inasababishwa na nini?
Ni hali ya kawaida
Nini madhara yake?
Nini tiba yake?
There any alternative to keep her safe?
Msaada wenu nimuhimu sana wakuu