Sikiliza na hili atakuambia Dr yeyote wa Urology. Utam huo utakufanya saa nyingine ufanye ka kukamua kamua vile. Unavyofanya hivyo, kule ndani kumetokea vijipele ambavyo vikianza kupona vtafanya kitu ka vinundu vile vya kondom. Baada ya muda, vitakua na kuziba kojo lako au ukikojoa utakuwa mkojo ukipita kwa shida na maumivu makuubwa kuliko huo utam unaousikia leo.
Njoo uwekewe mpira mapeeema kabla hujaziba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.