kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
Mkishaanza kuzitazama ndoa kwa miazania ya kiuchumi ndo hapo mnafikisha mpaka 40 bado mna bung'aa hey now is the right time kama hukujipanga back then; mwenzio akija atakusaidia kupanga!
Acheni ku cmplicate mambo................mnajipanga kufanyaje ............kuinunua BOT? ama?:yawn:
kaka hapo nakuunga mkono kwani nina rafiki yangu maisha yake yamenyooka baada ya kuoa