Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 471
pole sana ni pm nikupe ushauri
Mwali akiiona hii presha.....! ushauri wa private mmh!
pole sana ni pm nikupe ushauri
Nlivyobikiriwa tu ndo nlipata mimba nkiwa na miaka 20.na wala me syo fuska kama usemavyo namuogopa mungu ndiyo maana nmeomba ushaur kwan nmeona njia nienday siyo salama
hao wanaume wamefika wangapi?
Wanne tu
Wanne tu
Mwali akiiona hii presha.....! ushauri wa private mmh!
Wanne tu
1. Wewe sio mgeni huku jamvini. wageni wote wanabisha hodi
2. Wewe sio mchanga kwenye mambo ya mapenzi....kitendo cha kufikia una mtoto umefuzu kwenye mambo ya kikubwa...age aint nothing..
3. Una matatizo kisaikolojia...unahitaji kuonana na wataalamu wa saikolojia watakushauri vizuri endapo utakuwa mkweli na kuweka wazi matatizo yako....huenda unajiona wewe ni mzuri mno, ubinafsi au dharau na kutochukulia relationship serious issue.
Huna upendo wa kweli na wa dhati kwa hao wanaume unaobahatika kuwa nao. unajenga uhusiano kwa maslahi tofauti au kwa sababu tuu basi mwanamke anatakiwa awe na boyfriend au mwanaume awe boyfriend kama fashion.
Baada ya kusema hayo basi ningependa kuchukua nafasi hii kukushauri kwamba chukulia wanaume wote ni sawa..usijali kipato, elimu au sura. Angalia busara na hekima za mtu na upendo wa dhati. Usichukulie mzaha mzaha inapofikia issue ya mahusiano. badili mwenendo ondoa hisia hasi juu ya wanaume na utafanikiwa kuwa na uhusiano wa muda mrefu au hata wa maisha na mwanaume utakayempenda kwa dhati.
Mankaa hivi haka kaugonjwa ka wakubwa hamkupewa hint akat wa Orientation week ukiwa first year?...
Lets forget about sijui matatizo ya kisaikolojia ama kulogwa,mchawi ni wewe mwenyewe na ni wewe unayeweza kubadilika ukiamua...embu mtizame mwezio Keku katulia na Ndeyanka mwaka wa nane sasa...kwanini usijifunze lakini kwake? Unadhani mahusiano yao hayana migogoro!...migongano ipo ila wanakaa chini...wanazungumza!
unaweza kuwa na pepo washawasha, na ndilo lilikutuma uje hapa kutafuta wengine wa kuwamwaga baada ya hiyo calculated interval ya miezi 3 , 3.
Angalia itafika siku uanze kutumika tu, na wa
neno "OA" hatatokea kamwe.
Jini Mahaba,anakusumbuwa,Mx