Kila mwanadamu ana thamani lakini thamani yake nini?

pauli jm

JF-Expert Member
Mar 2, 2016
391
275
Ashukuriwe mungu wetu kwakutu kutanisha humu tena.thamani ya ng'ombe,mbuzi, nguruwe na wanyama wengine wengi ni nyama. Lakini jee thamani ya mwanadamu nini ?

Nimekuwa nikijiuliza swalihili kwamuda mrefu bila yamajibu ya uhakika.

Nina jiuliza kwani kilamtu ana thamani lakini jee thamani yake nini? Je kama mwanadamu nyama yake hailiwi na wala hauzwi kwa vipande vya fedha jee thamani yake iko wapi??.

"Nikwanini tunasema mwanadamu ana thamani kuliko mnyama. Ilihali mwanadamu hana chazaidi ya mnyama??.

"Kama mwanadamu ana thamani zaidi ya mnyama kwasababu tu anautashi jee nikwanini mwanadamu mtoto mdogo kabisa asie jua lolote nayeye awe nadhamani zaidi ya mnyama??. Au mtu zezeta na mtu asiye fanya kaziyeyote awe na thamani kuliko punda mlimaji na ng'ombe mkokota garilake au farasi mbeba mtu, nikwanini mwanadamu mpumbavu awe na thamani kuliko sokwe mwenye akili zakujitambua. Nini siri ya udhamani wa mwanadamu??.

"Nilikwenda kwenye msiba wa Bibi kikongwe, wa umri wa miaka 110 , Bibi akiwa hai alikuwa hana chochotekile akiwezacho kilakitu yeye alikuwa aki fanyiwa, lakini alipo fariki watu walilia. Jee nikwanini watu walilia ?.

"Kwenye msiba wa mtu zezeta asie weza,chochote na anae hudumiwa kwa kilakitu watu hulia pia nikwanini watu hulia ilihali, mtu huyu (hafanyi lolote) kama mbuzi??

"Ajabu nikwamba hata kwenye msiba wa gaidi au katili au fisadi au mnyang'anyi, fala , changudoa , kilaza, nk watu hulia pia nikwanini watu hulia kwenye misiba ya watu kamahao wasio kuwana mema? Natena siku ya misiba yao mabaya yao yote walio yatenda kipindi cha uhai wao hufunikwa nakutajwa memayao tu!??

"Kama kwenye msiba wawatu wasio zalisha chochote wala kufanya lolote , nahuku watu hao wasio zalisha chochote, thamani zao kwenye misibayao basi bilashaka thamani ya mtu sio fedha , mali , uzuri , akili , utashi , tabasamu nk.

"Bali thamani ya mtu ni uhai na uzima , kamadhamani yako ni uhai na uzima nandio maana unapo kutoka uzima watu hukulilia. Basi nikwanini wewe usi utafute uzima wa milele??
Nikwanini wewe usi utafute uhai wa milele ? Ili wewe uzidi kuwa na thamani ??.

"Jee wewe wawaheshimu wazazi wako ili kupewa thamani zaidi kwaku zidishiwa miaka mingi na heri duniani??.

"Jee nikwanini wewe wahangaika na vitu usivyo vijua kwaku angaika na mali usizo kuwa na uhakika nazo kwani hujui kama,utapata au utakosa nikwanini usi jiandalie kifo chema maana katika vitu ulivyo na uhakika navyo basi hakuna kituhata kimoja ulicho na uhakika nacho kama kifo??.

"Kama thamani ya mtu ni uhai jee wewe wayatenda mema ili mola wako akuruzuku uhai wa milele??.
 
I love my dogs to death... thamani yao sio nyama.

mbwa wana hisia..they get sad and happy. na wewe unayemtunza ana uwezo wa kujua when you are down na atajaribu kukuchezea ufurahi.

wengine wana akili kama mtoto wa miaka miwili. VERY INTELLIGENT. unawatrain wanaelewa.

nikifikiria mbwa wangu kufa nasikia uchungu mnoo...ni kwa nini waishio miaka 15 tu?? soo unfair.

mbwa wangu nitawazika kwa heshima zote.
they're my protectors after all, ready to risk their lives for mine.
 
"Ajabu nikwamba hata kwenye msiba wa gaidi au katili au fisadi a watu hulia kwenye misiba ya watu kamahao wasio kuwana mema? Natena siku ya misiba yao mabaya yao yote walio yatenda kipindi cha uhai wao hufunikwa naku tajwamemayao tu!??
.
wanalia watu walikuwa attached nao na watu waliokuwa wanafaidika na mema yao.

watu hufurahi sana mijitu mikatili ikifa. na ifege tu. imagine mzazi wako yangekuwa victim wa Hitler au Idd amin!!! kuna binadamu wengine hawana thamani kabisa!!
 
Jf imeingiliwa. Huu uandishi wa kuunganisha maneno yasiyoungana sijawah kukutana nao. Halafu sio lazima kuanzisha uzi jmn.
 
Lakini watu makatili ukiwaua wewe sheria ina kuhusu utatupwa jela kwaku katiza uhai wa mtu tena hapo unakuwa ume katiza uhai wa mtu na siogaidi au katili.
wanalia watu walikuwa attached nao na watu waliokuwa wanafaidika na mema yao.

watu hufurahi sana mijitu mikatili ikifa. na ifege tu. imagine mzazi wako yangekuwa victim wa Hitler au Idd amin!!! kuna binadamu wengine hawana thamani kabisa!!
 
thamani ya mwanadamu ni utu wake unaotokana na kuumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. lakini zaidi ni kuishi milele na Mungu baada ya maisha ya hapa duniani
 
Lakini watu makatili ukiwaua wewe sheria ina kuhusu utatupwa jela kwaku katiza uhai wa mtu tena hapo unakuwa ume katiza uhai wa mtu na siogaidi au katili.
mambo mengine ni complicated. kwa mfano wanaotaka death penalty itolewe kwa kigezo cha haki ya kuishi. mimi sikubali. Mtu anaye abuse haki ya Mtu ya kuishi kwa makusudi automatically naye kavunja yake. muuaji auawe!!! mambo mengine sijui kama kuna majibu concrete , debates zitaendelea vizazi na vizazi.

sema tu hatuko serious na haki za wanyama. kwingine unalipishwa pesa ndefu na miaka kibao jela kwasababu ya ukatili kwa wanyama. Mtu aliye na mnyama kipenzi (pet) ataelewa kuwa hata uhai wa wanyama una thamani saaana.
 
. Basi nikwanini wewe usi utafute uzima wa milele??
Nikwanini wewe usi utafute uhai wa milele ? Ili wewe uzidi kuwa na thamani ??.

"
una uhakika unataka kuishi "milele"?

na hii ya "kuzidi kuwa na thamani" hii, kama ya Kufikirika hivi!!! where did you get that idea from!!
 
mambo mengine ni complicated. kwa mfano wanaotaka death penalty itolewe kwa kigezo cha haki ya kuishi. mimi sikubali. Mtu anaye abuse haki ya Mtu ya kuishi kwa makusudi automatically naye kavunja yake. muuaji auawe!!! mambo mengine sijui kama kuna majibu concrete , debates zitaendelea vizazi na vizazi.

sema tu hatuko serious na haki za wanyama. kwingine unalipishwa pesa ndefu na miaka kibao jela kwasababu ya ukatili kwa wanyama. Mtu aliye na mnyama kipenzi (pet) ataelewa kuwa hata uhai wa wanyama una thamani saaana.

Kuhusu thamani ya uhai wa wanyama....vipi wale ambao wanaliwa na binadamu (mfano kuku, mbuzi, nguruwe, ng'ombe, samaki, bata mzinga na kadhalika), nao uhai wao una thamani?

Manake mimi nachoonaga ni sisi binadamu huwa tunakatisha uhai wao kwa kuwaua tena kikatili mno.

Huwa tunawachinja kama vile wao hawastahili kuishi. Hebu fikiria binadamu akiuwawa kwa kuchinjwa na binadamu mwenzake.....huwa ni habari ya ukurasa wa kwanza.

Lakini sisi binadamu tulio wengi wala huwa hatustuki tukiwaua hao wanyama kikatili na kuwala.

Kwa nini?
 
Kuhusu thamani ya uhai wa wanyama....vipi wale ambao wanaliwa na binadamu (mfano kuku, mbuzi, nguruwe, ng'ombe, samaki, bata mzinga na kadhalika), nao uhai wao una thamani?

Manake mimi nachoonaga ni sisi binadamu huwa tunakatisha uhai wao kwa kuwaua tena kikatili mno.

Huwa tunawachinja kama vile wao hawastahili kuishi. Hebu fikiria binadamu akiuwawa kwa kuchinjwa na binadamu mwenzake.....huwa ni habari ya ukurasa wa kwanza.

Lakini sisi binadamu tulio wengi wala huwa hatustuki tukiwaua hao wanyama kikatili na kuwala.

Kwa nini?
unfortunately nature is cruel to us all. we're carnivores. we NEED meat. hata binadamu wote tukiwa ma vegetarian bado Simba huko porini wataendelea kula nyama. hata mbwa wangu wanapiga kilos of nyama everyday!

the least we can do is kill them in a way that causes them the least pain. why torture the poor hamburger! hao wanaoua kikatili wanatafutwa saaana.

ambako sheria hazijawa serious wacha wamalizie malizie ukatili wao.
 
unfortunately nature is cruel to us all. we're carnivores. we NEED meat. hata binadamu wote tukiwa ma vegetarian bado Simba huko porini wataendelea kula nyama. hata mbwa wangu wanapiga kilos of nyama everyday!

the least we can do is kill them in a way that causes them the least pain. why torture the poor hamburger! hao wanaoua kikatili wanatafutwa saaana.

ambako sheria hazijawa serious wacha wamalizie malizie ukatili wao.

Ila mi huwa nasema binadamu sisi (kwa ujumla wetu kama species) tuko wakatili sana.

Hivi wewe ushawahi kuchinja hata kuku, kwa mfano?

Mimi na ujanja wangu wote nimechinja mara moja tu na nilijisikia vibaya for days.

And most likely I'll never do it again.

But I love me some chicken....be it fried...baked....grilled...or whatever.
 
Ila mi huwa nasema binadamu sisi (kwa ujumla wetu kama species) tuko wakatili sana.

Hivi wewe ushawahi kuchinja hata kuku, kwa mfano?

Mimi na ujanja wangu wote nimechinja mara moja tu na nilijisikia vibaya for days.

And most likely I'll never do it again.

But I love me some chicken....be it fried...baked....grilled...or whatever.
lol me nishasema wachinjaji wote wakigoma manake ndo nakuwa vegetarian!

what is kuchinja, Mara ya kwanza naambiwa nikate kuku nipike nilijisikia ovyooo. just felt wrong. lakini sahivi nishakuwa katili wa kukata mizoga ya kuku.

kwa kweli binadamu wa kwanza kuchinja nyama sijui walikuwa na njaa kiasi gani!

#but you gotta learn man...we need a man in the house! lol
 
lol me nishasema wachinjaji wote wakigoma manake ndo nakuwa vegetarian!

what is kuchinja, Mara ya kwanza naambiwa nikate kuku nipike nilijisikia ovyooo. just felt wrong. lakini sahivi nishakuwa katili wa kukata mizoga ya kuku.

kwa kweli binadamu wa kwanza kuchinja nyama sijui walikuwa na njaa kiasi gani!

#but you gotta learn man...we need a man in the house! lol

Hahahaaaa I gotta learn huh?

The thing is...so long as I can pay someone to do it for me or so long as I can buy one that's already been cut up....I kinda feel like there's no need to.

But trust me, if a situation came down to it where I have to do it in order to get a meal, all that squeamishness will go out the window.

A man'so gotta do what a man's gotta do!

But until then....I'll let other hommies do it for me.
 
Back
Top Bottom