Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Naomba majibu yenu:
Re: Serikali ya kikwete kuanza mauaji ni kushindwa kuongoza nchi
Today, 14:49
[h=3]
Re: Serikali ya kikwete kuanza mauaji ni kushindwa kuongoza nchi[/h]
Yesterday, 15:21
[h=3]
Re: Majibu ya jack zoka yana utata![/h]
Yesterday, 15:18
[h=3]
Re: Majibu ya jack zoka yana utata![/h]
Yesterday, 08:20
[h=3]
Re: Mh:mbowe: Anawataja kwa majina usalama wa taifa wahalifu[/h]
27th June 2012, 08:59
[h=3]
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...[/h]
27th June 2012, 08:57
[h=3]
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...[/h]
7th May 2012, 15:10
[h=3]
Re: Mauaji ya watanzania wenzetu yanafanywa na nani?[/h]
7th May 2012, 15:09
[h=3]
Re: Mauaji ya watanzania wenzetu yanafanywa na nani?[/h]
22nd March 2012, 16:02
[h=3]
Re: Vita ya Urais ndani ya chadema.[/h]
22nd March 2012, 16:00
[h=3]
Re: Vita ya Urais ndani ya chadema[/h]
22nd March 2012, 15:59
[h=3]
Re: Vita ya Urais ndani ya chadema[/h]
8th March 2012, 11:55
[h=3]
Re: Madaktari kuuza damu kwa wagonjwa mahututi ni ubinadamu?[/h]
7th March 2012, 12:42
[h=3]
Re: Bugando,muhimbili mgomo waanza rasmi,ikulu mkutano mzito unaendelea[/h]
7th March 2012, 12:18
[h=3]
re: Bugando, Muhimbili mgomo waanza rasmi, Ikulu mkutano mzito unaendelea[/h]
7th March 2012, 12:12
[h=3]
re: Bugando, Muhimbili mgomo waanza rasmi, Ikulu mkutano mzito unaendelea[/h]
7th March 2012, 12:06
[h=3]
re: Bugando, Muhimbili mgomo waanza rasmi, Ikulu mkutano mzito unaendelea[/h]
7th March 2012, 12:02
[h=3]
Re: Mgomo wa madaktari - Updates[/h]
7th March 2012, 12:01
[h=3]
Re: Mgomo wa madaktari - Updates[/h]
7th March 2012, 11:56
[h=2]
Re: Mgomo wa madaktari - Updates[/h]
23rd February 2012, 09:53
[h=3]
Re: Elirehema Kaaya na Wiliam Sarakikya kuhamia CHADEMA[/h]
15th February 2012, 11:10
[h=3]
Re: Mitandao isitumike kumchafua Rais[/h]
15th February 2012, 11:08
[h=3]
Re: Mitandao isitumike kumchafua Rais[/h]
15th February 2012, 11:07
[h=3]
Re: Mitandao isitumike kumchafua Rais[/h]
15th February 2012, 11:06
[h=3]
Re: Mitandao isitumike kumchafua Rais[/h]
Mtu ukitumwa changanya na akili yako kidogo kuepusha sisi werevu kujua kwamba umetumwa
Today, 14:49
[h=3]
jaribu kuwa kati katika kesi inayohusu pande mbili zinazosigana unless una ushahidi wa kutosha na sisi tunakuomba ili tukuunge mkono.
Yesterday, 15:21
[h=3]
Kiingereza ndio kimekuwa kigumu kwa mleta mada lakini hakuna ubaya wa maneno hayo
Yesterday, 15:18
[h=3]
hata ingekuwa ni kweli hayo maneno yangekuwa ni ya Zoka bado sijaona ubaya wake ninachoona hapo ni mleta thread kujaza ushabiki dhidi ya kauli hiyo.
Yesterday, 08:20
[h=3]
Chedema tumewazoea kukurupuka
27th June 2012, 08:59
[h=3]
Kama yuko tayari kufa kwa ajili ya taifa kutekwa ni moja ya silaha zinazoweza kutumiwa katika uwanja wa vita
27th June 2012, 08:57
[h=3]
Hakuna kitu hapo uongo uliosukwa
7th May 2012, 15:10
[h=3]
Kama hivyo ndivyo tuwataje wauaji kwa majina
7th May 2012, 15:09
[h=3]
siasa ina mbinu nyingi kutangulia kutangaza kwamba CCM ndio wauaji hakuondoi ukweli kwamba hata Chadema wanaweza kuua ili kupata umaarufu
22nd March 2012, 16:02
[h=3]
Wengi tunamfahamu Kitila na ametufundisha chuo kikuu cha Dar es salaam lakini hiyo haitoshi mimi kumsemea
22nd March 2012, 16:00
[h=3]
Akitoake Kitila atasema ni uongo ndilo jibu jepesi kuliko yote.
22nd March 2012, 15:59
[h=3]
katika mambo ambayo sitegemei kusikia kutoka kwa Kitila ni kukiri hadharani kwamba alizungumza mambo hayo kwani inategemea kama wakati wake wa kuweka wazi umefika au la lakini pia itategemea...
8th March 2012, 11:55
[h=3]
MOI walimnyima mgonjwa wangu aliyeumia kwenye ajali kumfunga chuma (supporter) linalotakiwa ku-balance miguu kwenye kitanda hadi nilipotoa 20,000 walianza kwa kusema vyuma vimekwisha kama nataka...
7th March 2012, 12:42
[h=3]
habari hii ni nzito kwa nini chanzo chake akiakisi uzito
7th March 2012, 12:18
[h=3]
TANESCO nao wakituhujumu kwenye umme eti tu kudai haki zao...giza nene
TRA wagome kukusanya kodi eti wanadai haki zao.
TBS wagome kuthibitisha ubora wa vyakula eti wanadai haki zao.
TRA wagome kukusanya kodi eti wanadai haki zao.
TBS wagome kuthibitisha ubora wa vyakula eti wanadai haki zao.
7th March 2012, 12:12
[h=3]
vyanzo vya kuaminika yoyote anaweza kuandika hata mimi. Hicho sio chanzo makini.
7th March 2012, 12:06
[h=3]
Kwenye red unapotosha umma kuwa makini na siasa za chama cha maandamano kuna mkono wao
7th March 2012, 12:02
[h=3]
wafuasi wa chama cha maandamano wanafurahi sana kuona nchi inatikisika kwa mgomo huku watu wanakufa.
7th March 2012, 12:01
[h=3]
Pinda kasema madakatari wameshika mpini serikali imeshika makali lakini isiwe sababu ya kutokaa meza moja kwa mazungumzo kuangalia wapi hakujawa sawa.
7th March 2012, 11:56
[h=2]
Madaktari wengi wana tabia mbaya wanatoa huduma mbovu lakini leo wanasema wanahitaji vifaa kwa ajili yetu wagonjwa wakati hata huduma ya mdomo tu wanashindwa kwa wagonjwa. Mgomo ni wa kulilia maslahi...
23rd February 2012, 09:53
[h=3]
photoshop.....picha ya kuunga kwa kompyuta angalia kwa makini kwa wataalamu wa picha za photoshop.
15th February 2012, 11:10
[h=3]
suala hilo ni binafsi lakini likahusishwa na siasa chafu dhidi ya JK. Haipendezi hata kidogo.
15th February 2012, 11:08
[h=3]
kwa tukio hili tuwe fair mtoto ndiye alaumiwe kwa kumtia aibu baba yake.
15th February 2012, 11:07
[h=3]
Nani kasema ubongo wa watoto wa Marais uko tofauti na watoto wengine?
15th February 2012, 11:06
[h=3]
sioni mantiki ya kuhusisha suala hili na Jk.