Haueleweki, naona picha yako na kidem chako tu!
huyu mwenye shati ya dhambarau ni mkaka or she
af wameonjana au unamaanisha nini?
Hapo hakuna mdada kuna mvulana(kulia) na huyo mwingine alizaliwa mvulana lakini uvulana wake kwa sasa ni kitendawili.those are craps...inatia kinyaa hasa ukimuangalia huyo mdada.aliyejichubua....
Hapa bado chenga chenga.
jamaa boflo wanakunywa na chai
Lily Flower, huyo wa kushoto ni 'mtoto sio riziki' ka dada unataka mpaka mtu atumie lugha kali ndo uelewe? Jua viashiria vya mambo mrembo, utapata taabu kuwalea watoto wako. Shauri yako! Angalia hako, sijui ndo kasidiria!!!!!!!!jamaa boflo wanakunywa na chai
Huyo jamaa wa kushoto hiyo pete kaazima kutoka kwa fame au ndiyo wanaume nao kwenda na wakati kuvaa pete za kike. Hata hivyo anaendana nayo lakini nashangaa rangi ya vidole vyake haifanani na ya uso wake.......DHAAAAA!!