Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,744
Huyu si ndio inasemekana si mtz? Analeta ya mramba sio?
Waziri wa fedha mustafa mkulo amesema kuwa kila mtu atakula kwa jasho lake,na kuwataka wananch wasitegemee hali ngumu ya uchum waliyonayo kama itaisha,pia amesema serikali haitafuta kodi za mafuta ng'o