JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
1. Hukumu juu ya kesi ya Makongoro na Mpendazoe.
2. Ufisadi
- EPA
- RICHMOND
- DOWANS
- KAGODA
- IPTL
- NK.
3. Mauaji yanayofanywa dhidi ya wafuasi wa CHADEMA.
4. Maisha magumu.
5. Ukosefu wa ajira kwa vijana.
6. Safari za rais zisizokuwa na tija kwa Taifa.
7. Mawaziri kufanya ufisadi na kuendelea kung'ang'ania madaraka.
8. Nk!
Je, ni lini watanzania watafanya maamuzi magumu kwa kuchukua hatua dhidi ya udhalimu, unyonyaji, unyanyasaji na uonevu huu unaofanywa na serikali dhidi ya wananchi? Kwa nini tusubirie mpaka 2015?
2. Ufisadi
- EPA
- RICHMOND
- DOWANS
- KAGODA
- IPTL
- NK.
3. Mauaji yanayofanywa dhidi ya wafuasi wa CHADEMA.
4. Maisha magumu.
5. Ukosefu wa ajira kwa vijana.
6. Safari za rais zisizokuwa na tija kwa Taifa.
7. Mawaziri kufanya ufisadi na kuendelea kung'ang'ania madaraka.
8. Nk!
Je, ni lini watanzania watafanya maamuzi magumu kwa kuchukua hatua dhidi ya udhalimu, unyonyaji, unyanyasaji na uonevu huu unaofanywa na serikali dhidi ya wananchi? Kwa nini tusubirie mpaka 2015?