Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Hapana, pamoja na Mkwerre kuwa na katabia ka Ushirikina kanakokwenda sambamba na kulindwa na Maruhani ya yule mzee wa Kiislam wa Magomeni aliyefariki, kiti kile ni cha Rais. Wakati nasoma kwenye chuo flani Tanzania chenye Matawi karibu 8 Chancellor huwa ana kiti kimoja tu ambapo wakati wa graduation huwa kinamfuata kila chuo atakachokwenda kutoa digrii. Hata kwa Rais ni hivyo hivyo. Hayo ni mambo ya kiitifaki tu mkuuKuna iridhi hapo