Kila mkutano wa Kikwete anakalia kiti kile kile, Je anasafiri nacho?

Najijua

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
1,039
180
Wadau natazama marudio ya hotuba ya mkuu wa kaya JK na nimegundua kuwa anakalia kiti kilekile kila napomuona ktk mkutano pasipo kujali yuko pande gani.

Je, viti vinavyofanana vipo nchi nzima? je, hirizi ya ujasiri wa kuzungumza upo ktk kiti? Anatupa taswira gani?

Popote pale utakapomuona katika sherehe za kitaifa au anaposhiriki shughuli yo yote hapa nchini hukalia kiti hicho hicho au kinachofanana na kile akaliacho ikulu!

Najiuliza hivi kiti hicho ni kile kile cha ikulu au vilinunuliwa vingi na kusambazwa kila mkoa ili avitumie akiwa ziarani?! Hata bungeni majuzi akiwa na rais wa Msumbiji alikikalia!
 
Kwani hujui kuwa huyo ni mwenyekiti wa chama? Kiti chenyewe ndio hicho sasa, ebo!
 
Ngoja wadau wake waje,Maana hakika kuna watumwa wao humu.

Ila nina hofu viti vinaweza ikawa inafanana.
Piga kimya wadau wake waje!
 
Kile ni kiti cha Rais, na kwa sasa ni JK. Popote Rais anapoenda hapa nchini, anakuwa nacho. Hata Mkapa ilikuwa hivyo hivyo.
 
Wadau natazama marudio ya hotuba ya mkuu wa kaya JK na nimegundua kuwa anakalia kiti kilekile kila napomuona ktk mkutano pasipo kujali yuko pande gani.
Je, viti vinavyofanana vipo nchi nzima? je, hirizi ya ujasiri wa kuzungumza upo ktk kiti? Anatupa taswira gani?

hebu jicheki vizuri km akili yako bado ina akili
 
Hapa kinachochefua zaidi ya kukalia kiti ni kitendo cha raisi anapoongea na wananchi huku amekaa kitako. Hii ama ni dharau kwa wananchi au ni dalili za uzembe wa kimwinyi wa kukosa seriousness kwenye maisha ya watu. Angalia viongozi wa wenzetu wa nchi zilizoendelea na zinazoendelea utaona hata pale wanapoongea na waandishi wa habari tu (press conferance) wanasimama. Hivi hizi tabia legelege tumezirithi kutoka wapi???
 
to get popular sapot ndo maana ukisikia hotuba yake kwa redio hukubaliani nae ukiangalia kwa tv unashawishika kumwamini, WITCH....
Vile vizee anavyovihutubiaga maana wengine wanadai anaongeaga nao ila sijawahi kuona wakiongea huwa vinalegea kabisa beter wakati anaongea uwe unakemea kwa imani ya dini yako u will be safe
 
Hapa kinachochefua zaidi ya kukalia kiti ni kitendo cha raisi anapoongea na wananchi huku amekaa kitako. Hii ama ni dharau kwa wananchi au ni dalili za uzembe wa kimwinyi wa kukosa seriousness kwenye maisha ya watu. Angalia viongozi wa wenzetu wa nchi zilizoendelea na zinazoendelea utaona hata pale wanapoongea na waandishi wa habari tu (press conferance) wanasimama. Hivi hizi tabia legelege tumezirithi kutoka wapi???
Hili nalo neno maana nimemkumbuka Nyerere enzi hizo alipokuwa akilihutubia taifa kwa njia ya redio alisimama wakati wote!.

Issue ya kiti kiasi ni kweli na kiasi sii kweli. Ni kweli kuwa kiti kile ni cha rais na ni kweli anasafiri nacho kote kama sehemu ya msafara wake pamoja na ile podium yake, for convenience, ila si kweli kuwa ni lazima akalie kiti kile as if ndio masharti ya mganga wake!. Kuna sehemu JK anakwenda na watu wake wa usalama wanajiridhisha na kiti walichokikuta hapo, basi huwa anakikalia kiti kingine chochote licha ya kiti chake rasmi kuwepo!.
 
Si unajua alimuondoa Shekhe Yahya?

Akikalia kingine amekwenda na maji
 
Hapa kinachochefua zaidi ya kukalia kiti ni kitendo cha raisi anapoongea na wananchi huku amekaa kitako. Hii ama ni dharau kwa wananchi au ni dalili za uzembe wa kimwinyi wa kukosa seriousness kwenye maisha ya watu. Angalia viongozi wa wenzetu wa nchi zilizoendelea na zinazoendelea utaona hata pale wanapoongea na waandishi wa habari tu (press conferance) wanasimama. Hivi hizi tabia legelege tumezirithi kutoka wapi???

Tumezirithi kutoka kwa waarabu.
 
hii mada haina tija wala maslahi kwa taifa

Tija na maslahi vipo kwani tunataka kujua kama tunaongozwa kwa msaada wa shetani (ambao matokeo yake ni maafa) au kwa msaada wa Mungu (ambao matokeo yake ni neema)!
 
Mwajua ya kuwa mlipokuwa watu wa mataifa mlichukuliwa kufuata sanamu zisizonena, kama mlivyoongozwa. 1Kor 12:2
 
yani hata mkimwekea kiti, yeye analetewa chake...../......... .......

Nimeshuhudia mara 2 kwa macho yangu kiti kikibadilishwa jukwaani@
 
Back
Top Bottom