Kwa muda mrefu sasa namsikia Sir Alex akiwashushia lawama nzito marefa kila Man U wakifungwa na mara kadha kumletea matatizo na chama cha mpira FA.Sijawahi kusikia akilalamika refa akiwabeba mara kadhaa na maamuzi yenye utata.Hivi huyu babu kaishiwa mbinu na muda wake wa kustaafu umefika?