Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,585
- 52,249
Nawatakia kila la heri wanafunzi wote wa kidato cha nne wanaoanza mitihani yao leo. Pia naomba tumwombea sana kijana wa jirani yangu (Tofa) ambaye leo inabidi akaanze mitihani yake wakati mwili wa baba yake mzazi aliyefariki dunia siku ya J.mamosi unaagwa leo kwenda huko kwao sumbawanga kwa ajili ya maziko.
Tofa MUNGU akutie nguvu sana.