IrDA
JF-Expert Member
- Aug 26, 2010
- 743
- 350
Jamani leo tumiminika kwa wingi kuishangilia kilimanjaro stars uwanja wa taifa saa 10 jioni ikipambana na Djibout.Nawaombeni wadau msiangalie matokeo ya nyuma kwani mtoto kama ni wako hata akiwa na tabia mbaya humkani bali unamsaidia kubadilika.Sasa basi uwepo wetu uwanjani leo na support itawafanya wachezaji wapate hamasa ya kurekebisha makosa yao.Nawahaidi wadau mtegemee kushangilia idadi kubwa magoli tu leo.......tafadhali msikose mechi hii