kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,132
- 6,100
Yaani ujumbe unafika kote.
Kweli UKUTA ndio breki ya mbele.
Kweli UKUTA ndio breki ya mbele.
utashikishwa ukuta tu ww utatulia hata hayo matusi hutayatoa tena,mama mzima unatukana huoni aibu31 August UKUMA Vs 1 September UKUTA
bonge la mechi!
Sio matusi, hiyo ni kaulimbiu ya UVCCM na operation yao ya Umoja wa kumpongeza magufuli ( )utashikishwa ukuta tu ww utatulia hata hayo matusi hutayatoa tena,mama mzima unatukana huoni aibu
Advocacy ya UKUTA imefanywa na kila mtu kuanzia Rais hadi raia wa kawaida hukooo ushagooo. Hata wanyama wa kufugwa na wa mwituni nahisi wamehusika. Mpango umefanikiwa.JF uzi wa juu mpaka chini ni UKUTA
The most successful mission everAdvocacy ya UKUTA imefanywa na kila mtu kuanzia Rais hadi raia wa kawaida hukooo ushagooo. Hata wanyama wa kufugwa na wa mwituni nahisi wamehusika. Mpango umefanikiwa.
...and very very cheap.The most successful mission ever
Intelligently planned...and very very cheap.
Operations zote zilizopita kama Sangara na M4C zilitumia gharama kubwa sana.
Ni umoja wa Kumsifu Magu au nakosea? Nadhani ndiyo content ya yale maandamano kama nilivyonukuu kwenye media tangazo Lao, mimi sina ubavu wa kuandika kwa kifupi31 August UKUMA Vs 1 September UKUTA
bonge la mechi!