Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
tibiesi bwana mkubwa!TBS ama FDA
tupo bara sasa............
tibiesi bwana mkubwa!TBS ama FDA
tibiesi bwana mkubwa!
tupo bara sasa............
hahahahaha!NYONGO NA TUNANILIU(tu-masusu)Homu boi mpelekeni hii Mzenj pale linipeleka kukaribisha mwaka 2010.....Chawote.....mpe ile kitu pamoja na firigisi plus utumbo, omba wanyunyizie na nyongo......! tabadilisha mawazo hiyo jamaa ya mabox....... ibaki bongo....ha!ha!haaa
HIVYO NDIVYO TULIVYO. Stadium ni mpya na ya kisasa lakini tunaiba vifaa pamoja na kuharibu miundo mbinu as if we dont deserve the best. Lakini tunalalamika kutaka halibora lakin hii tuliyonayo tumess hivi kweli tutafika huko???? As i said many times before what we first need to change is mindsetSiku ya kwanza tu polisi ananiomba rushwa kisa gari halina reg number hajui nilikuwa natoka nalo bandarini......akaomba 2000
Haya nikaenda kumwona Drogba nikiwa na mzenj wangu, nikakata tiketi za VIP Tshs 50000 utaratibu mbovu mbovu hakuna geti ikabidi kuwapoza wale jamaa kwa buku mbili
Nikaenda kiwanja cha uswahili nikatoa 10,000 beer 2 Mhudumu akaioshia zake
Wapwa wamenikimbia wote hawapo reachable!!!!
Narudi kzangu Zenj
Masa
Siku ya kwanza tu polisi ananiomba rushwa kisa gari halina reg number hajui nilikuwa natoka nalo bandarini......akaomba 2000
Haya nikaenda kumwona Drogba nikiwa na mzenj wangu, nikakata tiketi za VIP Tshs 50000 utaratibu mbovu mbovu hakuna geti ikabidi kuwapoza wale jamaa kwa buku mbili
Nikaenda kiwanja cha uswahili nikatoa 10,000 beer 2 Mhudumu akaioshia zake
Wapwa wamenikimbia wote hawapo reachable!!!!
Narudi kzangu Zenj
Masa