Kila kitu sisi ni hovyo hovyo

tibiesi bwana mkubwa!
tupo bara sasa............

Homu boi mpelekeni hii Mzenj pale linipeleka kukaribisha mwaka 2010.....Chawote.....mpe ile kitu pamoja na firigisi plus utumbo, omba wanyunyizie na nyongo......! tabadilisha mawazo hiyo jamaa ya mabox....... ibaki bongo....ha!ha!haaa
 
Homu boi mpelekeni hii Mzenj pale linipeleka kukaribisha mwaka 2010.....Chawote.....mpe ile kitu pamoja na firigisi plus utumbo, omba wanyunyizie na nyongo......! tabadilisha mawazo hiyo jamaa ya mabox....... ibaki bongo....ha!ha!haaa
hahahahaha!NYONGO NA TUNANILIU(tu-masusu)

heheheheh!
 
Siku ya kwanza tu polisi ananiomba rushwa kisa gari halina reg number hajui nilikuwa natoka nalo bandarini......akaomba 2000

Haya nikaenda kumwona Drogba nikiwa na mzenj wangu, nikakata tiketi za VIP Tshs 50000 utaratibu mbovu mbovu hakuna geti ikabidi kuwapoza wale jamaa kwa buku mbili

Nikaenda kiwanja cha uswahili nikatoa 10,000 beer 2 Mhudumu akaioshia zake

Wapwa wamenikimbia wote hawapo reachable!!!!


Narudi kzangu Zenj

Masa
HIVYO NDIVYO TULIVYO. Stadium ni mpya na ya kisasa lakini tunaiba vifaa pamoja na kuharibu miundo mbinu as if we dont deserve the best. Lakini tunalalamika kutaka halibora lakin hii tuliyonayo tumess hivi kweli tutafika huko???? As i said many times before what we first need to change is mindset
 
Siku ya kwanza tu polisi ananiomba rushwa kisa gari halina reg number hajui nilikuwa natoka nalo bandarini......akaomba 2000

Haya nikaenda kumwona Drogba nikiwa na mzenj wangu, nikakata tiketi za VIP Tshs 50000 utaratibu mbovu mbovu hakuna geti ikabidi kuwapoza wale jamaa kwa buku mbili

Nikaenda kiwanja cha uswahili nikatoa 10,000 beer 2 Mhudumu akaioshia zake

Wapwa wamenikimbia wote hawapo reachable!!!!


Narudi kzangu Zenj

Masa

Cha msingi umeamua kurudi lakini ungejichanganya mitaa ya kati, na ungepata demu wa kibongo wangekulamba simu na pesa zako zote, sijui ungerukije kwenu?

Harafu ndiyo wewe tunayekutafuta manake unatoa rushwa, hujui mtoaji na mpokeaji wote mali-ganyanja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom