Kila kitu safi, tatizo hiyo t-shirt ya ndani haijaendana na suti

kosoa jinsi ninavyoongoza sawa, lakini kukosoa jinsi ninavyovaa, i don't see how this is your concern
 
ana wafanyakazi lukuki wa mavazi, vioo kibao ikulu. ile ni kwa ajili ya usalama wake. mtu yuko vulnerable kufuani zaidi. na kichwani attacher mwenye uwezo waku target wachache sana, ndo maana hajavaa helmet
 
Huenda inazuia risasi kupenya. halafu me nachukiaga sana kumkosoa huyu Rais kipenzi chetu waTz
 
Back
Top Bottom