Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Jamani hapa mtaani kwetu kila jobless anataka acheze sinema ili aweze kutoka.
Amazing, hivi kweli mtaji huu tutapata sinema bora?
Amazing, hivi kweli mtaji huu tutapata sinema bora?
Nilikua naangalia list ya muvi staz wa Nigeria wengi ni wahitimu wa vyuo vikuu sijui kwa bongo hata wa5 kama wanafika..upeo ni muhimu sana hasa unapochukulia ile kama ajira.Hata "The great (Kanumba)" alianza hivyo hivyo kupitia kaole,
Leo hii ukijaribu kuhoji uwezo wa kipaji cha Kanumba na kazi zake unaambiwa unawivu mara wabongo hatujikubali.
Bado tunaulimbukeni mwingi sana wabongo linapokuja suala la sanaa kwanzia Music, Movie, Sanaa za majukwaani... labda big up kwa wachongaji na wahunzi.