nasikia italy ataonana na wafanyabiashara wa huko.
sijui kwenye ujumbe wake atakuwa na wafanyabiashara pia?
Kwa kweli Umdhaniaye ndiye.. yaani JK alivogeuka na kupwaya kwa nguvu zote hata sikutegemea yaani!
Kweli nimeanza amini tetesi za kwamba JK ni rubber stamp lipo kundi linalo endesha nchi!
Sikutegemea atoke kwa vitisho badala ya kujibu hoja! am confused!!