Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
Leo nimeona kwenye TV Rais wetu akipokea JEZI ya RONALDO ambayo ni zawadi toka Real Madrid kwa kutambua nini sijui wanajua wenyewe...........
Katika speech yake alishukuru eti ANASHUKURU SANA KWA ZAWADI HIYO na pia kuitambua Tanzania JAPOKUWA NI MASIKINI.......
Huyu baba vipi nilitamani nimzabe kibao kama ni umaskikini basi ni umasikini wa FIKRA alionao yeye na haoi wanaomzunguka, yaani Tanzania na na RASILIMALI zote tulizokuwa nazo, ARDHI, MADINI, NK tuna umasikini gani kama sio ujinga wa viongozi wetu kutajua jinsi ya kuzivuna na kufaidika na TAIFA nazo????
Katika speech yake alishukuru eti ANASHUKURU SANA KWA ZAWADI HIYO na pia kuitambua Tanzania JAPOKUWA NI MASIKINI.......
Huyu baba vipi nilitamani nimzabe kibao kama ni umaskikini basi ni umasikini wa FIKRA alionao yeye na haoi wanaomzunguka, yaani Tanzania na na RASILIMALI zote tulizokuwa nazo, ARDHI, MADINI, NK tuna umasikini gani kama sio ujinga wa viongozi wetu kutajua jinsi ya kuzivuna na kufaidika na TAIFA nazo????