Thanks kwa KunielewaMkuu unamaanisha pwani ya ziwa Nyasa au....
Hata hao wamalawi watamshangaa sana maana nina imani wanafuatilia kauli mbalimbali za viongozi wetu. Kauli za kuashiria vita zimetolewa na serikali ya JK kama ifuatavyo
1. Samweli Sitta - Kaimu Waziri Mkuu
2. Bernard Membe - waziri wa Mambo ya Nchi za Nje
3. Edward Lowasa - Mwenyekiti, Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje
Mnisamehe ila ukweli JK hana sifa za kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Huwezi ukaondoa option ya vita katika mgogoro wa mpaka. Mimi sijasikia mpinzani akizungumzia vita ni wana CCM sijui JK anaishi nchi gani na huo ni uoga pia