Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
- Thread starter
- #41
Kweli nimeamini ya kwamba JK ni robot kama alivyowahi kusema Mkapa !
hahahahahahahaa nimecheka sana
Kweli nimeamini ya kwamba JK ni robot kama alivyowahi kusema Mkapa !
Dhehebu ganiMwana Mpotevu Hii mbona iko wazi inawalenga CDM moja kwa moja, kwani wao ndio 90% ya viongozi wao wanatoka kaskazini, na sasa wameleta udini chini ya mwamvuli wa kanisa
Mwana Mpotevu Hii mbona iko wazi inawalenga CDM moja kwa moja, kwani wao ndio 90% ya viongozi wao wanatoka kaskazini, na sasa wameleta udini chini ya mwamvuli wa kanisa
Mwana Mpotevu Hii mbona iko wazi inawalenga CDM moja kwa moja, kwani wao ndio 90% ya viongozi wao wanatoka kaskazini, na sasa wameleta udini chini ya mwamvuli wa kanisa
Mbona unajichanganya mwenyewe, yaani Chadema ni ya Kanisa halafu inachoma makanisa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hay ni maneno yao wakiwa kwenye gahawa na kashata sasa akasahau kuchanganua nakuchanganya na za kwakeMbona unajichanganya mwenyewe, yaani Chadema ni ya Kanisa halafu inachoma makanisa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Aisee kweli wewe ni Genius!! Ponda, Fareed, etc!!Mwana Mpotevu Hii mbona iko wazi inawalenga CDM moja kwa moja, kwani wao ndio 90% ya viongozi wao wanatoka kaskazini, na sasa wameleta udini chini ya mwamvuli wa kanisa
Mwana Mpotevu Hii mbona iko wazi inawalenga CDM moja kwa moja, kwani wao ndio 90% ya viongozi wao wanatoka kaskazini, na sasa wameleta udini chini ya mwamvuli wa kanisa
hay ni maneno yao wakiwa kwenye gahawa na kashata sasa akasahau kuchanganua nakuchanganya na za kwake
Hivi hiyo asilimia tisini (90) unayoisema ya viongozi wa CHADEMA wanaotokea kaskazini ni ipi? Naomba unitajie hao viongozi ambao kwa takwimu zako ni asilimia tisini la sivyo nitaamini kuwa unafikiri kwa kutumia kiuno au kile kiungo nyeti cha kukalia.