The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,393
- 12,977
Huyo ndiye JK ninayemfahamu, kukoboa ndio asili yake. Mwaka 2015 mkimuuliza mbona hukutimiza ahadi hii na ile na ile, atawajibu very simple, "si mlinipigia kura kwa viherehere vyenu". Wenye viherehere mpigieni kura JK.
Si alichatutukana waTanzania kwa kusema kuwa 75 % ni bendera fwata upepo!!!!