Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
majungu matupu.
Inakuwaje uteuzi wako wote ukanyooshewa vidole? Unamwakilisha nani hapo? kama ni wananchi mbona watu tuliowakataa kwenye kura wewe unawapa madaraka?
Mimi kwa kweli inaniuma sana hasa kipindi hiki cha huyu jamaa.
Basi bwana; weye mshindi . . . .
Ningeshangaa sana kama hii post isingechangiwa na watu wenye mawazo mgando kama wewe.djwabongo tuache kulalamika.hizo ni chuki binafsi.au mlitaka ndugu zenu wateuliwe ndo mfurahi?wale mnaowachukia nyie mkiona wanapata furSa ya kuitumikia nchi yetu mnanuna,acheni r
oho mbaya wakubwa.let me ask u friends.wat exactly are problemz wit those pple u r blaming.toeni mapunguf apa km hamjaaibika.kukoSa kuRa haina mana kuwa hauwezi kazi.siasa na utendaj ni vitu viwili tofauti
Kwa Tz kuitwa Dr. lazima lugha ipande la sivyo mvivu kusoma maana kuanzia sekondary ni kizungu mpaka chuo kikuu. Nchi unazotaja wanasoma masomo yote kwa lugha zao na ni nchi ambazo zimeendelea lakini sisi kiswahili mwisho msingi. Sasa wewe mpaka unakuwa doctor kizungu usijue?????? shame
Inakuwaje uteuzi wako wote ukanyooshewa vidole? Unamwakilisha nani hapo? kama ni wananchi mbona watu tuliowakataa kwenye kura wewe unawapa madaraka?
Mimi kwa kweli inaniuma sana hasa kipindi hiki cha huyu jamaa.
Basi bwana; weye mshindi . . . .
Kwa nini kulalamika? Kikwete si mlimchagua wenyewe baada ya kupewa vikofia vya kijani na chumvi? Mwacheni afanye anavyoona inafaa ili safari nyingine mjifunze kuondoa ushabiki wa Yanga na Simba katika siasa.Inakuwaje uteuzi wako wote ukanyooshewa vidole? Unamwakilisha nani hapo? kama ni wananchi mbona watu tuliowakataa kwenye kura wewe unawapa madaraka?
Mimi kwa kweli inaniuma sana hasa kipindi hiki cha huyu jamaa.
Basi bwana; weye mshindi . . . .
wewe john kujua kiingereza hakuna uhusiano na kuwa Dr. kule china, Ufaransa na Japani kuna maprofessor wengi sana ambao hawajui kiingereza. Au wewe ndo wale wa yes yes mzungu kala mafenesi? English is just a language, the same as Kiswahili et al.
Inakuwaje uteuzi wako wote ukanyooshewa vidole? Unamwakilisha nani hapo? kama ni wananchi mbona watu tuliowakataa kwenye kura wewe unawapa madaraka?
Mimi kwa kweli inaniuma sana hasa kipindi hiki cha huyu jamaa.
Basi bwana; weye mshindi . . . .
kujua kuongea kiingereza sio kujua kila kitu. kiingereza ni lugha kama kijerumani ivyo ondoa mawazo ya lugha unaweza usijue kingereza lakini upeo na uwezo uko juuWewe mtu anajiita doctor kingereza cha kuunga?