Kikwete unatuaibisha watanzania

At the risk of "blaming the victim"...

Kikwete ni kama kioo cha Watanzania wengi tunavyofikiri.Kwa hiyo badala ya kumlaumu sana Kikwete kama yeye ndiye tatizo letu kubwa, tujiangalie sie wenyewe kama jamii.

Kuanzia watoto, vijana mpaka wazee wengi wetu tumekuwa na fikra za kutaka misaada kuliko kufanya kazi.

Na zaidi ya yote,Kikwete kachaguliwa mara mbili na Watanzania, wana imani naye - kama utaachilia mbali uwezekano wa kuibwa kura- kwa hiyo ni lazima tujiulize ni kwa nini Kikwete kachaguliwa mara mbili kama ni mtu wa ovyo hivyo? Ina maana sehemu kubwa ya watu wetu ndio wako au wamekubali hivyo?

Tusiangalie sana kutibu dalili ya ugonjwa tukaacha kutibu ugonjwa wenyewe.Huwezi kutibu TB kwa Cofta. Kumuondoa Kikwete ni rahisi, after all anastaafu urais 2015.Kuziondoa hizi mentalities za ajabuajabu bongo ni kazi kubwa zaidi.

I am afraid as hopeful the opposition looks while in opposition - if indeed you can call the current state of the opposition hopeful-, if we do not address our core systemic issues hata wao wanaweza ku succumb to the same societal bottlenecks. And I say that with all the best intentions and hoping that I am wrong for the sake of our country. Kwa sababu kama tuna matatizo katika mzizi wa jamii yetu, haijalishi chama au itikadi iliyoshika utawala, tutazunguka pale pale tu.

Inawezekana kabisa kwa pool ya viongozi tulionao sasa rais ajaye akawa wa ajabu kuliko Kikwete ( hebu fikiri rais atoke CCM halafu awe a weakling, a Pinda type), mkamkumbuka Kikwete na kusema "afadhali Kikwete" kama sasa hivi watu wanavyomkumbuka rais Mwinyi na kusema "afadhali Mwinyi" ingawa alivyokuwa madarakani alikuwa anasemwa kila siku.

Tuangalie matatizo yetu kwa upana mkubwa zaidi ya matatizo ya uongozi ya mtu mmoja, ingawa pia naelewa kwamba katika nchi ya top down structure, rais ana nafasi disproportionate ya kufanya mambo yawe mazuri au kuharibu.
 
Hatuna sababu ya kuomba misaada wakati pesa tunazo. Hizo pesa zilizoleta hayo maji hapo Mbeya mbona watanzania wachache tu wanazo?. Chenge angeweza kabisa kuleta maji kama hayo katika miji mingi hapa nchini. Ni aibu kuitwa ombaomba wakati uwezo tunao.
 
At the risk of "blaming the victim"...

Kikwete ni kama kioo cha Watanzania wengi tunavyofikiri.Kwa hiyo badala ya kumlaumu sana Kikwete kama yeye ndiye tatizo letu kubwa, tujiangalie sie wenyewe kama jamii.

Kuanzia watoto, vijana mpaka wazee wengi wetu tumekuwa na fikra za kutaka misaada kuliko kufanya kazi.

Na zaidi ya yote,Kikwete kachaguliwa mara mbili na Watanzania, wana imani naye - kama utaachilia mbali uwezekano wa kuibwa kura- kwa hiyo ni lazima tujiulize ni kwa nini Kikwete kachaguliwa mara mbili kama ni mtu wa ovyo hivyo? Ina maana sehemu kubwa ya watu wetu ndio wako au wamekubali hivyo?

Tusiangalie sana kutibu dalili ya ugonjwa tukaacha kutibu ugonjwa wenyewe.Huwezi kutibu TB kwa Cofta. Kumuondoa Kikwete ni rahisi, after all anastaafu urais 2015.Kuziondoa hizi mentalities za ajabuajabu bongo ni kazi kubwa zaidi.

I am afraid as hopeful the opposition looks while in opposition - if indeed you can call the current state of the opposition hopeful-, if we do not address our core systemic issues hata wao wanaweza ku succumb to the same societal bottlenecks. And I say that with all the best intentions and hoping that I am wrong for the sake of our country. Kwa sababu kama tuna matatizo katika mzizi wa jamii yetu, haijalishi chama au itikadi iliyoshika utawala, tutazunguka pale pale tu.

Inawezekana kabisa kwa pool ya viongozi tulionao sasa rais ajaye akawa wa ajabu kuliko Kikwete ( hebu fikiri rais atoke CCM halafu awe a weakling, a Pinda type), mkamkumbuka Kikwete na kusema "afadhali Kikwete" kama sasa hivi watu wanavyomkumbuka rais Mwinyi na kusema "afadhali Mwinyi" ingawa alivyokuwa madarakani alikuwa anasemwa kila siku.

Tuangalie matatizo yetu kwa upana mkubwa zaidi ya matatizo ya uongozi ya mtu mmoja, ingawa pia naelewa kwamba katika nchi ya top down structure, rais ana nafasi disproportionate ya kufanya mambo yawe mazuri au kuharibu.


Kiranga
, the issue is no one is prepared to use the Country's mineral resources to liberate ourselves...
 
Mimi bado issue yangu narudi palepale, je fedha zetu ambazo zingeleta maendeleo zilizofichwa kwenye mabenki ya Uswiss, SA, of shore ACCTS, CayMans Islands tukisema zirudishwe zifanye maendeleo mbona wamekaa kimyaaaa, vipi kulikoni wizi umeruhusiwa???

Hapo kwenye red ruksa kuanzia bilioni, trilioni nakuendelea lakini chini ya hapo utaishia segerea miaka dahari, fanya research utajanambia.
 

Kiranga
, the issue is no one is prepared to use the Country's mineral resources to liberate ourselves...

Define "prepared".

Katika nchi ya watu milioni 40 una hakika "no one" is prepared kweli? Hili si tusi kwa Watanzania wote?

Na hapa kuna tatizo kubwa kuliko watu kuwa prepared.Unaweza kuwa as prepared as you can be, lakini kama huna vyombo au mtaji wa kuwa na vyombo vya kuchimbia, wawekezaji wanakuminya tu.Ndiyo maana Nyerere alijionea bora kuuchuna tu mpaka siku tutakapoweza kupata uwezo labda.

Mimi naona tatizo sio "no one is prepared", tatizo ni kwamba hata wale waliokuwa prepared hawawezi kufanikiwa kwa mfumo wetu, na wale wanaoweza kufanikiwa hawawezi kuwa prepared. Ili kuwa mbunge for the most part ni lazima uhonge, kutoa rushwa na kuongopa, sasa unategemea calibre hii ya viongozi ndiyo iende kupigana na rushwa?

Ndio maana unaona mtu kama Membe msema ovyo anaweza kuwa Waziri wa Mambo ya Nje kwa mfano, wakati mtu kama Dr. Mahiga utasikia anazunguka nje tu, akiingia TZ siasa za mipasho ataanzia wapi?

Hlafu kuongelea kutumia mineral resources ku liberate watu ni vizuri, tatizo utaanzia wapi wakati uongozi wenyewe ndio huu? Inabidi wananchi waone uchungu kuibiwa na kuamka kudai haki yao.

Kisha nimependa ulivyosema kwamba tutumie mineral resources "ku liberate ourselves" meaning tupate pa kuanzia na kujifungua minyororo ya umasikini, ujinga na magonjwa. Kwa sababu tunahitaji kukumbatia a knowledge economy zaidi kuliko a natural resources economy.Kuna balozi mmoja wa Sweden or one of these top donor countries alivunja protocol na kutusomesha kuhusu ubaya wa kubweteka kutegemea national resources, kwani zinaisha au tunaweza kushindwa ku add value. Matokeo yake mnapewa royalties za ajabu kabisa.

Mimi bado naona tatizo kubwa lipo kwetu kuliko hizo resources.You can pave the entire world with a carpet so as to not touch sand with your feet, you could also choose to wear shoes and achieve the same.
 
Back
Top Bottom