OTIS JF-Expert Member Sep 7, 2011 2,251 827 May 4, 2012 #21 Naungana na JK kuwapa makavu hawa wanaosoma kozi za ukalimani Si ajabu mkimaliza chuo hampati kazi na mkipata mwaona faraja kulipwa kwa TGS D. OTIS
Naungana na JK kuwapa makavu hawa wanaosoma kozi za ukalimani Si ajabu mkimaliza chuo hampati kazi na mkipata mwaona faraja kulipwa kwa TGS D. OTIS
simplemind JF-Expert Member Apr 10, 2009 16,409 9,183 May 4, 2012 #22 Rugas said: Ninavyojua mimi! wanaosoma Ba education, b.education ndio wanaoenda kutufundishia wanetu! Click to expand... ninavyofamu mimi BA in English who gain expertise in several fields including secondary education.
Rugas said: Ninavyojua mimi! wanaosoma Ba education, b.education ndio wanaoenda kutufundishia wanetu! Click to expand... ninavyofamu mimi BA in English who gain expertise in several fields including secondary education.
K Kiboko Yenu JF-Expert Member Feb 12, 2012 311 65 May 4, 2012 #23 kwa kuonyesha hazina ajira kozi za art zote zimefutiwa mkopo mwaka huu na education ni asilimia 50 tu
kwa kuonyesha hazina ajira kozi za art zote zimefutiwa mkopo mwaka huu na education ni asilimia 50 tu
M Mundu JF-Expert Member Sep 26, 2008 2,707 638 May 4, 2012 #24 Ni heri mtu akwambie ukweli hata kama unauma ili uchukie, kuliko akuambie uongo na kukupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili ufurahie... Kiswahili kitamu saaana...Kikwete imekuwaje tena unaongea senteso za kukibananga?
Ni heri mtu akwambie ukweli hata kama unauma ili uchukie, kuliko akuambie uongo na kukupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili ufurahie... Kiswahili kitamu saaana...Kikwete imekuwaje tena unaongea senteso za kukibananga?
G Godwishes JF-Expert Member Aug 26, 2011 640 165 May 5, 2012 #25 Ndo matatzo ya kuongozwa na mtu aliyeacha Ualimu.