Kikwete umeishia ahadi za fly-overs.....wenzio kenya tayari zinajengwa na wachina....unafanya nini??

Magezi

JF-Expert Member
Oct 26, 2008
3,359
692
Juzi nilipata bahati ya kutembelea Kenya nilikuwa nahudhuria mkutano fulani pale Nairobi. Katika matembezi mtaani nikakuta tayari wenzetu wameanza kujenga fly overs katika makutano matatu na nilivyo uliza nikaambiwa huo ni mwanzo tu.

Mimi nimerudi najiuliza hivi zile ahadi za Kiwete za kujenga fly-overs zimeishia wapi?? Au ni maneno tu ya ******??
 
hazitajengwa tena ni marufku,na wamemweleza Magufuri kuwa hakuna kubomowa tena nyumba,ili tubaki na msongamano wetu kama zamani,ambae hataki kuwa ktk msongamano abadilishe uraia,bongo hiyo bla bla bla bla

hakuna cha fly over wala fly down hehehehehehehehehehehe ni fly chali sasa
 
wenzetu wapo mbali kidogo.....wanataka roundabout zote wazitoe ili kupunguza jam......dah Tanzania kweli kichwa cha mwenda wazimu....hivi hawa wakubwa huwa hawatembelei huko hata wakaona mfano?
 
Juzi nilipata bahati ya kutembelea Kenya nilikuwa nahudhuria mkutano fulani pale Nairobi. Katika matembezi mtaani nikakuta tayari wenzetu wameanza kujenga fly overs katika makutano matatu na nilivyo uliza nikaambiwa huo ni mwanzo tu.

Mimi nimerudi najiuliza hivi zile ahadi za Kiwete za kujenga fly-overs zimeishia wapi?? Au ni maneno tu ya ******??

Acha utoto, kwani hao kenya ahadi walizitoa lini na wameanza ujenzi baada ya muda gani?
 
inasikitisha sana kuona wakubwa wa CCM wanakalia maneno wakati jirani zetu wanakomaa na vitendo. Cha ajabu, sasa hivi kenya wameanza drilling kwenye Geo-thermal kwa ajiri ya kuzalisha umeme......sisi tuna makaa ya mawe mpaka yanajitokeza juu ya ardhi lakini umeme hakuna......

Hivi ni nani atuazime akili tupandikize kwenye vichwa vya watawala wetu???????
 
wenzetu wapo mbali kidogo.....wanataka roundabout zote wazitoe ili kupunguza jam......dah Tanzania kweli kichwa cha mwenda wazimu....hivi hawa wakubwa huwa hawatembelei huko hata wakaona mfano?
Haya bidada,
Niambie, pale KERICHO pia kuna hizi flyovers?...au ndiyo sababu umegomea huko..lolz!
 
Acha utoto, kwani hao kenya ahadi walizitoa lini na wameanza ujenzi baada ya muda gani?

Tuaptie basi na time frame ya kutekeleza ahadi za kiCCM ama tunarithishana kama daraja la kigamboni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom